Acha kuandika utumbo..... Kwani ukimaliza form six na miaka 20 inachukua miaka mingapi kuanza chuo?! Si ni miezi michache tu..... Mimi nilianza chuo nikiwa na miaka 20 na form six nilimaliza nikiwa na miaka hiyo hiyo 20. Nilimaliza form six mwezi wa 5 kama sijakosea maana ni miaka mingi imepita...
Kudharau degree kisa wewe huna huo nao ni ujinga uliopitiliza..... huwezi kuwa na akili timamu af uulize eti "WHAT IS DEGREE"...... Ukitaka kujua what is degree nenda kasome Chuo Kikuu af ukikutana na test za kutosha kila weekend, UE, Sup, na kuona wanaodisco. ndo akili itakukaa sawa utajua what...
ulishaipatia ufumbuzi au bado!? Kuna ths new modified ipsw ambayo itakupa access to new features ambazo zipo kwenye iOS 5.0+ ambazo ww kama unatumia 2G au 3G huwezi kuzipata ktk ipsw 3.1.3/4.3.3 like background wallpaper, multitasking, iBooks pamoja na installation ya application zinazohitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.