Tz kuna maajabu mengi sana, sasa kama baba/mama mwenye mji anaogopa kupambana na nyoka mdogo aliyeingia ndani mwake kwa kutishia kulala nje, sisi watoto wadogo tutafanyaje
Hii tabia ya wanasiasa kutokuwa na misimamo thabiti ndo inafanya kuaminiwa inakuwa ngumu, anaongea hiki Leo then hujui kesho kama ataamka na msimamo ule ule,sasa kuwashikia mapanga na marungu cc hatuwez kilichobaki tunapeleka kilio chetu kwa karma tu basi.
Pengine najalibu kuwaza hapa huyu jamaa amepewa data za nchini Congo au Nigeria kwa ile population yao hesabu zake zinaweza kukaa Sawa ila kwa Tanzania pia mwalimu wake wa hisabati atakuwa anajisikia vibaya huko aliko, basi amsamehe tu hapa alizalisha kiazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.