Nimeona ni vizuri nikaanza kwa adabu zaidi kwa kuomba ridhaa ya wenyeji wangu kifupi nyumbani hii nimeipenda na taendelea kuwepo mpaka mnichoke Tafadhali naomba kuwasilisha
Hoja ya kumtaka Magufuli haina mshiko kitaifa kwanza binafsi nampongeza kwa kupandisha gharama ya Kivuko, yapo Mambo mengi ambayo yanawagusa watz na yanaongeza ugumu wa maisha si 100 kupanda kwa gharama za umeme na matatizo kibao yanayolikabili taifa letu nilitegemea wananchi wangepinga Hilo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.