Ndugu wana diaspora,
Naona inakuwa ngumu sana sisi tulioshi nje ya Tanzania kwa miaka mingi kurudi na kuanza new life. Mnafanyaje mbona wengine tumeshindwa?
Nina rafiki zangu watatu walirudi kwa wakati tofauti wamekufa baada ya kuishi Tanzania kwa muda mfupi. Tupeane mbinu how to start.
Kwa...
Ndugu zangu,
Nafikiri nipo katika wakati mgumu sana, nazeeka na nimeingiwa na hofu, nimegundua nauingia utu uzima, nimechukia, naogopa nahisi maisha ndio basi, kila nikipita nasalimiwa shikamoo, sipendi jamani wengine wananisalimia nawaona kama tunalingana, naogopa sana uzee.
Mvi zinabisha...
Ndugu zangu nilijiunga zuku na kununua kingamuzi nikidhani wanafaa kama wanavyojitangaz,kwa kweli huduma zao ni mbovu na zimejaa madharau,wakenya wanaofanya kazi ya customer care hawajui kuongea na Wateja vizuri,Leo ni siku ya NNE tumelipia kila tukipiga ili watuunganihe tunaishia hewani...
Kamanda naona umeanza kutoka nje ya responsibilities. Jana umesema utapambana na matatizo yaliyo ndani ya chama, leo unasema utagombea Urais, hujui wajibu waki ndani ya chama?
Nakushauri achana na tamaa, jitahidi kuendeleza chama alipoachia Dr Slaa. Hizo tamaa zenu ndio zinaturusha nyuma...
The relationship between China and Vietnam has been complicated, and continues to be complicated. It makes sense to look at it from several different angles:
Historical:
China has occupied Vietnam for more than 1,000 years; the Chinese name for Vietnam was Annam (安南)。At times, the Vietnamese...
Najiuliza maswali mengi ni kwa nini serikali imeamua kualika uongozi wa Vietnam iliyo na uhusiano mbaya kabisa na rafiki wetu wa karibu China,,,,,,maswali ni mengi kuliko majibu na imani yetu ni kwamba serikali inajua inachokifanya.
Ninajiuliza maswali mengi,hakika kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka,maringo yote maneno na majivuno yote ya familiya ya Makamba inakaribia mwisho kabisa kwenye ulimwengu wa media,hakika hatutasikia tena jina hilo la Makamba,Mungu anasafisha uchafu wote...
Kuna kitu alitaka kusema au tuseme hiyo picha imebeba Ujumbe maalum,
Namshauri Josephine atulie azoee maisha mapya ya huko Canada,halafu pili namwomba Josephine ajaribu kukua kidogo,to be mature,
Wameamua kukimbia siasa za Africa kwa sababu no politic in Africa
Nawatakia kila la heri!
Luna mbingu ya kwanza mpaka ya saba,shetani anaishi mbingu ya kwanza na mungu mbingu ya saba,kwenda mbinguni lazima upite mbingu ya kwanza na utamwona shetani na mapepo yake
maana ya ile picha ni kwamba wamemtandikia Magufuli kapeti ili akaishi maisha mazuri na kuinjoy lakini amegeuka na kuwa Nguruwe,huo ni udini achukuliwe hatau haraka sana
Kumekucha tena,Urusi inasema itapiga marufuku anga ya Syria kutumika kwa taifa lolote mpaka waiombe ruhusa Urusi,
Naona ile vita ya tatu imekaribia sana
Ile video tuliyo share katika mitandao ya kijamii na kudownload ili tutumie mataifa mengine waone watoto wa viongozi wetu imefutwa kutoka Yotube.tumesha download na tumeshajua na kujionea kila kitu mnaofuta mnajusumbua,
Imebaki hatua moja tu watoto was kikwete waige tabia za watoto was Gaddafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.