tanga jij bado hakueleweki wamesema hela bado hazijaja na mkurugenz amesema ametuma maafisa elimu watatu kufuatilia amesema labda baada ya siku saba taarifa za leo nimetoka kuripot
serikal yetu haina mpangilio mzuri wa ajira za walimu kwani mara kwa mara wamekua wakidai kuwa wataajiri walimu lakin inashangaza hawatangazi hata ajira zenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.