Huyo bado naona ni mgeni katika ujenzi hiyo huwez sema inakaribia kuisha! alafu garama kuifikisha hapo mbona umeibiwa sana? ukizingatia nyumba yako inaonekana ndogo sana!
Tuition sio sababu la msingi ni bidii ya mwanafunz darasni we inaonekana hata shule ujaenda! wengine hata hizo tuition hatuzijui na madrasa tumesoma na hao waliokuwa wanasoma tuition walikuwa wanatuomba sisi wa madrasa majibu kwenye mitihani. fanya utafit kabla ya kuongea mkuu
Nssf imebalance 50 50 kila upande ila kwa nchi hii kutokana na mazoea ya watu kuwa waislam ni wachache na baadh ya mashirika hawaonekani kabisa, ikitokea idara ,shirika au wizara ikaajiri watumishi 50 50 waislam na wakristo moja kwa moja hiyo inaonekana waislam ni wengi! badiliken jamani achen...
Wadau vp ya commissioner wa tra kuanbiwa na AG kuwa hizo hela hazikutakiwa kukatwa kodi na wao wakakaa kimya ni Sahihi? ina maana wao sheria za kodi hawazijui mpaka wapewe maelekezo? na katika maadili ya kaz mtu unaposhinikizwa kufanya isivyo unatakiwa uchukue hatua zipi? mi naona tra nao wamo...
Pole wana familia! Kwan hiyo ndo njia kuu ya kila mwanadamu la msingi tuliobaki iwe ni funzo kwetu tusitawaliwe sana na dunia na kusahau kwamba ipo siku tutarudi kwa muumba wetu na tutaulizwa matendo tuliokuwa tukiyafanya!
We ni mgeni mkuu? wenyeji tulishaacha kutumia huo usafir muda mrefu sana! hizo meli ni za kusafirisha mizigo sio abiria! nakushaur siku nyingine tumia usafir wa mabus ni mengi sana na ya kisasa na kila muda utakaojisikia kusafir utapata gar!
Kosa sio la HRO bali hao watumishi wa hapo wanawake ndo malaya! nawashauri wanaume msipoteze muda wenu kupambana na huyo jamaa ila pambaneni na hao wake zenu wasiojiheshimu! inawezekana hata kwingine wanagawa sana sasa sijui utapambana na wangapi!
Maskin professor wangu mchapakaz! ila mi ningependekeza uendelee kuongoza hiyo wizara maana ulionyesha uhai kuliko wale akina Ngeleja na Karamagi na kutoogopa matajir wanaotaka kijinufaisha kupitia rasilimali za umma! maana kiongoz ambae ni mla rushwa huwa hana msimamo kama uliokuwa nao!ila...
Hawa viongoz itapendeza wakifikishwa mahakaman ili iwe fundisho kwa viongoz wengine wa din wajanjawajanja ndo maana ikifika wakati wa uchaguz wanakuwa wapiga debe wa baadhi ya wanasiasa badala ya kuimiza wafuasi wao kuchagua viongoz waadilifu na wachapakazi! watz tuwe macho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.