mtoa mada salaaaM
Nina wazo kuwa fursa kama fursa huwa ipo siku zote za maisha ya mtu endapo ataijua na kuitumia vyema......kumbuka kuna wanafanikiwa ujanani wengine huwatokea hata wakiwa wazee.....
NB: NAHISI KWA MIFANO YAKO ULIAMUA KUWABANA WALE WAWILI KANA KWAMBA MAAMUZI YAO HAYAKUWA SAHIHI...
ni vyema haya mambo tukayajua ki undani wadau kama mnafahafu chochote kuhusu hili mkatueleza hapa jukwaani ili nasi tuchangie mawazo yanayopasa kuliko kutupoteza tusijue chochote.........reality please
NIMESOMA HICHI KISA NIKAENDA MAJUKWAA MENGINE HUKOOO ILA NIKIONA NISIPO COMENT HAPA NITAKUA SIJATENDA HAKI KABISA.....mkuu hiki kisa na Mimi kilinipata vyema kabisa isipokua in utofauti mdogo tu .... ....Mimi nilipewa hela za daftari 4 kipindi daftari ni tsh 50 si nikakuta wanacheza kamari...
Nina miaka mitatu kwa kazi ila sikufuru kwa MUNGU WANGU KABISA amenipa viwanja viwili vikubwa kimoja ni karibu robo tatu hekari site nzuri mno na tena amenijalia majukumu ya familia na Nina mtoto mchanga sasa ( my baby boy) ,biashara kwa mke wangu na tena miradi kama wa mbuzi na kuku na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.