hiyo ni kwa mujibu wa marekani na israel kwani hizo nchi uturuki na saudi arabia ni vibaraka wa marekani na israel, hata wananchi wa nchi hizo hawaungi mkono serikali zao kwa msimamo huo
​here we go again kikwete 2005 chaguo la mungu sasa slaa mteule wa mungu acheni kutumia dini kutapeli watanzania mna maslahi yenu binafsii mkikosa chaguo anakuwa fisadi
ooh wow i love to be a pologamist maskini padre hapati huo utamu ilibidi aasi hadi hawara yake kamfumania na hawara remember dodoma usiku saa nane alidai yule ni rafiki yake urais ndio angeweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.