aiseee hawa watu hawana kanuni,,nilimulizaga huyu rafiki yangu ni nin kinapelekea hawa kufanya hiv?anasema alishamuulizaga akamwambia hamna sababu,,sasa najiuliza inakuwaje?kwa wanaume navyojua mim sis tumeumbwa na kutamani tukiona namba 8 sura nzuri basi hapo lazima tutamani lkn hawa watu...
Katika kufuatilia kwangu naona wanawake wanacheat sana kuliko wanaume sema watu wengi wanajua kama wanaume ndio wanacheat sana,,haionekani kama wanawake ndio wanacheat sana kwa sababu wanawake ni wasiri sana,ninayo mfano,kuna rafiki yangu ni player sana,ametembea na mke wa mtu na hadi leo huyo...
hiii stail nimeipenda ningekuwa mim ningefanya hivi,halafu kitu kingine ningempigia nikamsikiliza maelezo yake kwanza kabla ya yote,halafu ndio uyachuje then ushike decision,sasa hujamsikiliza anasema nin wewe umekasilika hapo umekosea mkuu
dada cha msingi hapo cha kufanya ni kujifanya hata bado huamini kama una mimba jifanye unataka kwenda tena ukahakikishe kama unayo hiyo mimba ikiwezekana mchukue huyo boyfriend wako muende wote halafu mnaenda wote kupima na mkifika kule itaonekana hauna na yeye atashuhudia halafu unajifanya...
tatizo nilijalibu kumueka chini na kumwambia mbona siku hiz amebadilika?yeye anachonijibu hajabadilika ni mim tu jinsi ninavyoona lkn matendo yake tofaut na anayoyasema,,sasa nakosa cha kufanya
tatizo nilijalibu kumueka chini na kumwambia mbona siku hiz amebadilika?yeye anachonijibu hajabadilika ni mim tu jinsi ninavyoona lkn matendo yake tofaut na anayoyasema,,sasa nakosa cha kufanya
yeah yeye huchukua simu yangu,na nilishawahi kumwambia siku hizi mbona amebadilika akasema si kweli hivyo ni mim ninavyomuona lakina yeye anasema yuko sawa lakin kuna kila ushaid kuwa amebadilika mzee!!!!
Mim ni mvulana wa 28 yrs,niko na girl friend wangu miaka 2 Sasa,mda wote huu tumekuwa tukipendana bila ya matatizo,lakin hivi miezi miwili iliyopita yaan amebadilka mno,sometime mpaka nashindwa kuamin ni yule nayemjua au mwengine,mpaka nimekuwa simwamini tena kutokana ta vitabia vya hapa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.