Mwambie huna madhala na mtu wale yeye aje tu vingine vitajiseti mbeleni, utakion kinakuja kuliwa.
Hiyo ni kweli kina mtu anakidinya sasa wakat ukiwa unakipelekea moto ikitokea amepiga simu kiwe huru kuongea kwa vile kilisha kuambia kina mtu
Majeshi yote ya huko juu legevu tu hasa yakiwa hayana taarifa (inteligensia).
Mara ngapi NATO amepigwa hapo Somalia, mara ngapi NATO kapigwa kweli kweli katika vi nchi vidogo alivyoingia.
Picha please, tumuone mmoja wa watu anaeifanya Tanzania kuendelea kuwa Masikini.
Dodoma hadi leo barabra za katikati ya Jiji pale mjini ni za vumbi, barabsra za toka mjini kuelekea nane nane hadi Mtumba ni nyembamba sana foleni muda wote tumeshindwa kutanua na kujenga barabara nzuuuri sababu...
Wanawake bwana vipao mbele vyao vikuu
1. Aolewe
2. Ajengewe nyumba
Hili la nyumba ukisoma uzi kwa makini ndio linalengwa hapa baada ya la kwanza kufanikishwa
Swali halijajibiwa popote, nilijua kuna mtu anatoa ushuhuda kwamba anamubatua jini kwa sasa au aliwahi mubatua huko nyuma ndio ingekuwa mwafaka wa story.
Miaka ya nyuma nilikuwa nasoma kisa kwenye gazeti kuna jamaa alikuwa anaishi Temeke alikuwa analibatua na akawa amechoka hivyo anatafuta...
Ni vingi visa, ila nakumbuka mvua ina nyesha asubuhi had jioni na ndani hakuna chakula, mama alinipa mfuko wa sulphate kisha akasema nenda mwembe fulani ukaangue maembe ulete tulalie..
Nimetembea ndani ya mvua, nimekwea ule mwembe kunanyesha, nimevuna maembe robo kiloba kisha nikarejea nyumbani...
Saikolojia haidanganyi, wenye maisha ya hayo ulijimwambafai hapo juu hawasemagi na kujisifia hivo.
Trust me upo very broke Mkuu..[emoji1][emoji23][emoji23]
MASIHARA YA KUMLA SISTER...
Kwanza before ya huu Mkasa nikiri yafuatayo, ( Pre humble)
1. Niliamini kabisa nyuzi zote za kula hawa watu ni uongo, sikuamini hilo jambo kuwezekana
2. Niliamini ukimtokea hawa watu wanakukemea kama wale walokole waliovurugwa
3. Niliamin ukisema tufanye atakujib...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.