Hello friends.
Mimi nina swali kwa wanaume,,pia napenda kupata honest answers...swali ni hili..Hivi wewe kama mwanaume unaejiamini ktk mambo yako na maisha kwa ujumla,na una mpenz wako na mnapendana sana,,
lakini kiukweli katika swala la mapenzi (sex) huwa haumridhishi mwenzio na humfikishi...
That was a good idea anyway..but cha muhimu hapo ni kuzingatia positive changes where necessary na sio kubweteka na hali uliyo nayo kwa kuoga hisia za nin kinaweza kutokea...
We are human beings and we are never rigid..changes are always there.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.