Search results

  1. mohamed Ali

    CCM Kuongoza Mazishi ya Regia Mtema

    acha fitina na chuki hizo wewe msiba si siasa hapa duniani tunapita tu hata wewe utakufa iko siko kama si leo kesho wacha kuchochoa mambo yalokuwa hayana msingi katika jamii
  2. mohamed Ali

    Ajabu: Balozi Seif Iddi apigiwa Saluti na Heshima zote na majeshi, Seif Shariff wampa Mkono

    oyaaa kamanda acha majungu hayoo sasa saluti unaona big deal kama huna mada usiweke pumba tunataka mada za faida katika jamii sio uzushi
  3. mohamed Ali

    Magufuli hana tofauti na wanaCCM wengine

    wewe inaonekana una matatizo ya kiakili sio kosa lako hilo ni kosa la daktari alokupa ruhusa kutoka kule marembe
  4. mohamed Ali

    Magufuli bila madaraka yukoje?

    namfagilia kinoma magufuli ni mchapakazi na ni hodari mwenye kumlaumu ana chuki zake binafsi
  5. mohamed Ali

    Magufuli hana tofauti na wanaCCM wengine

    oyaa kamanda hizo chuki zako binafsi tu magufuli ni mchapakazi hodari tukiondoa chuki za kisiasa magufuli namfagilia kinoma kwanza kila wizara akipelekwa ana fiti tofauti na mawaziri wengine tusimtie dosari jamani ni mtu makini sana na mchapakazi mzuri sana myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Back
Top Bottom