Kaka qa misimamo,inapendeza.japo mlipaswa kuufata uongozi wa juu kueleza.ya moyoni,kuliko kutuandikia hadharani,baweje nakukubali kati ya viongozi wa.tanga wenye misimamo wewe ni mmoja wao,
Media zina mchango mkubwa ktk kupandisha ama kushusha jambo lolote,napingana na mchangia hoja aliyesema haamini ktk siasa za magazeti,haya mengine ya NCCR kujiondoa ukawa ngoja tumaini atakuja kutupa ukweli kama ni kukanusha habari iliyotoka ktk magazeti ama laaaa,ninachoamini ni kuwa CDM wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.