Hivi hii tabia ya kulipana fadhila kwenye haka kanchi kataisha lini. Hawa washauri wa baba Riz1 wanamshauri nini wakisikia mtu anaitwa dokta tu wao wanakurupuka kumpatia nafasi kwa elimu ya kuungaunga tu.
Hivi kwani magoli yao yote yanakuwa kwenye dakika za nyongeza hawa Chelsea
tarehe 18/04/2012-Drogba alifunga kwenye dakika ya 45+2
Leo tarehe 24/04/2012- Ramiries amefunga kwenye dakika ya 45+1,Torres dakika ya 90+2 kwanini wanapenda kuwafanya hivi hawa vijana waliozoea
Jamani watanzania tuache kujadili umri wa mtu wakati wa matatizo kwa muda wote huu wa matukio mabaya ya LULU ikiwa pamoja na kupiga picha za uchi tulikuwa hatuambiwi kuwa huyu ni mtoto ila sasa anakabiliwa na kesi jamii inaona kuwa yeye ni mtoto tuiachie mahakama ifanye kazi yake ya kutenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.