Search results

  1. Anna Nkya

    Rais Samia akiwa ziara ya kitaifa nchini India, leo Oktoba 9, 2023

    Tanzania na India zimetia saini hati za makubaliano 14 na mkataba mmoja, ambapo hati 10 zimehusisha taasisi za serikali na tano za sekta binafsi.Katika mkutano wa pamoja na waadhishi wa habari, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, na Waziri Mkuu wa India, Mhe...
  2. Anna Nkya

    Kipi cha ajabu kwa mtoto wa Rais Samia kuwa na biashara binafsi?

    Baba yake Mbowe (Aikaeli Mbowe) ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA. Fataher-in-law Mbowe (Edwin Mtei, Baba wa Lilian Mtei) ndiye kiongozi mkubwa wa kwanza ndani ya CHADEMA thats why wengine wanasema CHADEMA ni 'chama chake'. Back in days hapa Moshi palikuwa na Mzee Philemon Ndesamburo, he was...
  3. Anna Nkya

    Lema anakubali mpango wa Rais Samia kuleta wawekezaji bandarini

    Jana Lema alikuwa Serena Hoteli kwenye mjadala uliohusu uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu ikiwemo bandari. Alikuwa pale na kina Mzee Ulimwengu, Rostam Aziz, Wasira na watu wengu wengine. Kwenye meza yake, Lema alikaa na Zito Kabwe na watu wengine mashuhuri. Lema alipochangia...
  4. Anna Nkya

    Roma Mkatoliki, mpe Rais Samia maua yake kwanza

    Nimesikiliza wimbo wa Roma Mkatoliki, napenda ila Chorus hasa kwa kuwa ameimba ABIUD ambaye wengi wanapenda anavyoimba mitaani. Roma amefanya vyema kumopa nafasi kuimba Chorus japo kweli Chorus na anachoimba Roma havifanani. Katika wimbo huu Roma anaomba kupewa maua yake ayanuse kabla hajafa...
  5. Anna Nkya

    B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

    Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia. Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi...
  6. Anna Nkya

    Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

    September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe. Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika...
  7. Anna Nkya

    Ripoti ya CAG: Ishara ya Uwazi wa Rais Samia

    Mijadala inaendelea kila mahali sasa hivi watu wakijadili yale yalioandikwa kwenye Ripoti ya CAG. Kwa sehemu kubwa yanayojadiliwa ni madudu yaliyoko kwenye taasisi za umma. Jambo la kufurahisha ni kwamba tayari kuna hatua zimeanza kuchukuliwa kuwawajijibisha waliotafuna pesa za Umma. Wizara...
  8. Anna Nkya

    Karibu Kamala Harris, Asante Rais Samia Suluhu

    Kuna kipindi Rais Samia alienda Marekani, halafu ikatokea kwamba hajafika Ikulu ya Marekani. Baasi humu mitandaoni akaanza kushambuliwa hasa na watu wa CHADEMA kwamba hajaonana na viongozi wakuu wa Marekani kisa Tanzania hakuna demokrasia. I dont think kama walisema kweli ila sawa hakwenda...
  9. Anna Nkya

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Nilipokuwa Africa ya Kusini, stories kuhusu LGBT zilikuwa kawaida. Nilichokuwa najua kuhusu huku nyumbani ni kwamba hata kuongelea hicho kitu ni tabboo. Sasa hivi watu wanaongelea sana, kwa bahati mbaya kuna watu wanaongelea sana wakidhani ndio wanaupinga, kumbe kwa kuupa airtime tu inafanyika...
  10. Anna Nkya

    Kwa Miaka 6 hatukuona wala kusikia ugonjwa wa Kipindupindu, hii ni aibu kwa Taifa

    Kilichomkuta Mwele ndio majibu sasa kwa nini hatukusikia mambo hayo wakatia wa Magufuli. Sayansi haikuwa na nafasi kwa Magufuli, ukweli haukuwa rafiki kwake. Rais Samia Suluhu anaruhusu ukweli usemwe kwenye mambo mengi. Muhimu sana hapa ni kwamba kama mtoa mada anavyosema kwamba Kipindupindu ni...
  11. Anna Nkya

    Kuelekea maadhimisho ya miaka miwili ya Rais Samia, Tutaje mafanikio ya ndani ya miaka miwili

    Uti wa Mgongo wa Taifa letu umeimarishwa vyema chini Daktari ni Rais Samia Suluhu aliyeamua kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo. Wakulima mashambani wamejawa na tumaini baada kuona kilimo kimetengewa bajeti ya kihistoria ya shilingi bilioni 954. Hili ni ongezeko la asilimia 317...
  12. Anna Nkya

    Mtanzania aliyeuawa vitani Urusi; kifo cha kishujaa?

    Nemes Tarimo alienda Urusi kusoma mnamo mwaka 2020. Akiwa huko Urusi, mwezi Machi 2022 alikamatwa kwa uhalifu akahukumiwa miaka 7 jela. Warusi wakatoa ofa kwa wafungwa kwamba ukienda vitani, baada ya vita utapewa fedha nyingi na utapata uhuru. Nemes Tarimo akajiunga na kundi la Wagner Group...
  13. Anna Nkya

    Mwenyekiti Mbowe, kweli Rais Samia amefanya mazuri ila sifa kwake zimezidi!

    Nahisi Mwenyekiti Mbowe amelewa, hii sio sauti yake ya kawaida. Ametumia mkutano huu kujisafisha kuhusu kulamba asali. Japo Rais Samia Suluhu anafanya vziuri lakini ametumia muda mrefu sana kumsifia. Is MBOWE OKAY?
  14. Anna Nkya

    Joseph Mbilinyi (Sugu) alikuwa sahihi, Rais Samia anaendesha nchi vizuri

    Januari 12,22023 , Mbunge mstaafu wa Mbeya kwa tiketi ya CHADEMA , Joseph Mbilinyi alitweet" Nchi inaenda, so far so good. Hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo na state. Mengine yote yanazungumzika,na tutakutana kwenye mikutano ya hadhara soon. Mungu aendelee kuwapa busara...
  15. Anna Nkya

    Mabovu yapo, ila Rais Samia Suluhu kajenga madarasa mengi

    Yes, kuna madarasa bado ni mabovu, yes kuna watoto wanakaa chini na matatizo mengine kama hayo. Lakini tusilitazame kwa mhemko na kushindwa kumpa Rais Samia Suluhu maua yake; - Katika kipindi kisichozidi miezi 20, Rais Samia kajenga madarasa 23,000. Ina maana ndio ujiulize kama asingejenga...
  16. Anna Nkya

    Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

    Dkt Sophia Mjema amechukua nafasi ya Shaka Hamdu Shaka, yeye ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi. Sophia anakuwa mwanamke wa kwanza kushika nafsi hiyo. Wanaomfahamu wanaelewa kwamba Sophia ni mtu wa kazi, mtu wa siasa. Mwaka 2020 alionesha vizuri uwezo wake kwenye siasa...
  17. Anna Nkya

    Mvua kubwa kunyesha Tanzania

    Mamlaka ya Hali Tanzania, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter imesema kuna mvua kubwa zitanyesha Tanzania hivi karibuni. Tujiandae.
  18. Anna Nkya

    Mama yuko Kazini kutupunguzia ugumu wa Maisha, acheni kutumia hoja ya kupanda mafuta, Haimhusu

    Picha nliyoweka hapo sio ya Arusha kwetu, ni Calfornia Marekani ambako bei zinapanda kinoma. Hapo Februari, #JPMorgan (taasisi kubwa ya fedha huko Marekani iliona kwamba vita ya Russia itafanya bei za mafuta zipande hadi $120 kwa pipa. Mwaka 2019 pipa lilikuwa $60 tu, 2020 likaenda hadi $80s...
  19. Anna Nkya

    Rais Samia azindua ugawaji wa vitendea kazi kwa maafisa ugani kilimo. Asema Serikali imeongeza bajeti ya utafiti kutoka Tsh 7.35bn hadi 11bn

    Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumpatia Sh150 bilioni ili aziweke katika benki za biashara kama dhamana (security), hatua itakayowezesha wakulima nchini kuanza kupata ruzuku ya mbolea katika msimu wa kilimo ujayo. Bashe ameomba fedha hizo leo...
  20. Anna Nkya

    Rais Samia kataa kutumika kupitia sherehe ya mwaka mmoja wa utawala wako. Kuna pesa zinachangishwa

    Serikali Ofisi gani? Serikali ikose hela ya kufanya sherehe kama inataka kufanya? Reason kwa akili ya kawaida tu, HILO HALIWEZEKANI. Kama Serikali inataka kufanya sherehe itatumia fedha zake, haiwezi kuomba watu wachangie Laki 2
Back
Top Bottom