Search results

  1. III II II II II

    Watanganyika ndio Wazenji halisi

    Naam, watanganyika ndio wazenji halisi, siyo waunguja na wapemba kama inavyoaminika kwa wengi! Bendera ya iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Tanganyika Nasisitiza tena, watu wa Tanzania bara ndio wazanzibari orijino. Asili ya neno Zanzibar ni maneno mawili ya kiarabu. "Zanj" ikimaanisha 'watu...
  2. III II II II II

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mimi ndiye wa mwisho
  3. III II II II II

    Kanisa Katoliki laanzisha bima yake ya afya kwa ajili ya waumini wao baada ya kuona wanahangaika

    Endeleeni kujiita wafia dini. Kuna siku mtakuja kuzifia kweli hizo dini za wazungu na waarabu! Il| Il |I l| Il
  4. III II II II II

    Simba atabeba kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika 2023/2024

    Habari zenu wadau! Japo sijawahi kumwambia yeyote, ukweli ni kwamba mara kadhaa nimekuwa nikiota ndoto kuhusu mambo mbali mbali ambayo mengi hutimia kama nilivyotabiri kwa sababu ukiachana na kupewa maono nimekuwa na kipaji asilia cha kutafsiri ndoto. Siwazi sana kuhusu mchezo wa mpira wa...
  5. III II II II II

    Rais Samia afupisha ziara yake Dubai kurejea nchini haraka iwezekanavyo, Serikali kugharamia mazishi na matibabu ya majeruhi wa mafuriko ya Hanang

    Kwann Samia ameahirisha ziara wakati angeweza kumtuma Makamu wake kushughulikia hilo suala huku yeye akiendelea na mkutano ? Il| Il |I l| Il
  6. III II II II II

    Annexation of People's Republic of Kenya into the Great Tanganyika under the United Republic of Tanzania

    Referendum iandaliwe na serikali kivuli ya dubwana kubwa Tanganyika lililojificha nyuma ya muungano wa hovyo kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba ni wakati sasa ardhi na eneo lote la Jamhuri ya watu wa Kenya viwe sehemu ya Tanganyika Kuu. Dola ya wakenya ife. Madaraka yake...
  7. III II II II II

    Nashukuru Rais Kagame anaigopa Tanzania

    Zanzibar haiwezi kudai Mombasa, Mafia, au sehemu yoyote ile ya pwani ya Afrika Mashariki kwa sababu Sultan aliuza eneo lote hilo kwa Wajerumani akabaki na visiwa viwili tu, Pemba na Unguja. Mipaka ambayo Tanganyika ilirithi wakati wa Uhuru itabaki kuwa Milki ya Taifa hili milele. Kama kuna...
  8. III II II II II

    Hodi hodi JF family!

    Habari! Jina langu ni |I| |I |I |I |I Mimi ni Mwanamume. SINA UMRi, wakati mwingine Mimi ni Kijana na wakati mwingine naweza kuwa mzee, kwa hivyo mtanivumilia kwa mawazo yanayokinzana Kiumri nitakayokuwa natoa humu. Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa thread mbalimbali humu JamiiForums...
Back
Top Bottom