Pengine nikuulize una miaka mingapi? Inawezekana bado mtoto sana kwa upande wangu huwa najisikia raha kupita kiasi tena nataka tena na tena. Kama unajisikia aibu kwanini unaomba siku ingine basi usifanye.
Jiulize ndani ya moyo wako unampenda nani. Kwani mapenzi haya chagui mkubwa wala mtoto. Wana jamii wenzangu mbona binti kupedwa na babu wa miaka 60 hashangai iweje huu mshikaji. Wewe kama unapenda endelea nae hao mabinti wadogo nao vicheche akikutana na fataki anaruka nae. KAZI KWAKO.
Huo ujumbe ni mkali sana anaweza kujihisi ni takataka katika dunia. Mm nakushauri sehemu yenye mapenzi inaonekana. Fanaya mambo asiyo yapenda yeye mwenyewe atakasilika ata amua kususa.
Kumbuka malipo duniani ukimtenda mwenzio hata wewe utalipwa hapa hapa. MAPENZI NI ZAIDI YA MSIBA MAPENZI...
Kujipodoa sio tatizo kwani hata wewe ulimpenda akiwa amejipodoa! sidhani kama angekuwa na matongotongo usoni unge mpenda. Kuhusu vimini ongea nae kama ana kupenda atakuelewa.
Usitupe chembachao kwa msala upitao. Fikiria mara mbili maamuzi yako usije kujilaumu wewe mtu umemuona siku moja umejuaje kama ni mwema kwako mimi sikushauri endelea na urafiki tu. Tena anaweza kuwa rafiki mwema kuliko mkiwa wapenzi.
Jamani na nyie wanaume mnakosea unapokuwa busy unatakiwa umwambie mpenzi wako kwa upole kwa mahaba na kwa upendo sidhani kama mwanamke muelewa atakasilika.
Pole Mwaya najua fika adha ya kumpenda mpenzi asiyejua thamani ya kupedwa. Omba mungu akupe moyo wa uvumilivu uweze kumsahau japo siku za kwanza inauma sana. Jamani mapenzi yanauma bora upigwe kwa fimbo kuliko kwa mapenzi. Pole, mungu akupe uvumilivu.
Kaka umeongea point najua wanawake wenzangu wataibeza lakin huo ni ukweli mtupu. Mwanamke bila kusifiwa kupewa sifa za uongo bado hajakubali na masikio ndio yanasikia. Lakin mwanaume ameumbiwa kupende kwa kuangalia bila kuona hawezi kutamani then kupenda.
Huyo kesha kupenda isipo kuwa anaogopa kukukwambia inavyoonekana anataka Hati miliki, sasa tatizo hajapata mpenzi ambaye yupo serious na penzi lake. Amechoka maisha ya kurukaruka anataka aitwe Mrs fulani kwa nguvu. Msaidie apate kivuli cha muda
Mimi sikushauri umwache kama kweli umempenda kaa naye chini umwambie ukweli kuwa hakufikishi,
Nendeni hospitali muongee na Doctor kwa uwazi bila kificho mtapata suluhishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.