Hlw, naomba msaada tafadhari Niko mwenye mchakato wa kuama chuo Ila nimekwama kwenye stage ya 5 naambiwa Sina vigezo japo vigezo vyote ninavyo naomba msaada nifanyenn Apo..? Kingine sijafanya malipo kwaajiri ya uhamisho huo je Ada hio hulipwa kabla ya maombi au baada ya maombi na Kama ni kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.