Naenda kwa mada moja kwa moja.
Hivi Juzi kati nilihamia kwenye nyumba moja mkoa X. Jirani alinipokea vizuri sana ila kutokana na nature ya kazi wote kurudi night tulishindwa kuwa marafiki.
Jirani mara nyingi navyokuwa sipo anawaamuru vijana wangu wafanye vitu ambavyo sijawaagiza mfano fundi...
Mgao unaoendelea Mbeya ni balaa kwa kweli, sio mchana wala usiku. Nimenunua sana vitaa vya kichina vyote vinakaa mwezi havieleweki. Nimejitosa tu kununua panel kubwa na betri kubwa nipate umeme.
Anayesubiri umeme ukae sawa kwa kusikiliza wanasiasa pole zake. Mvua zinanyesha kubwa karibu nchi...
Habari wadau!
Hivi hizi habari za vitu vya kale sijui na hela za zamani kuna ushahidi wowote hapa Tanzania mtu kapata hela kwa haya mambo?
Msaada wenu na ndugu yangu kazama kwenye haya mambo anauza mali za urithi akitegemea zitarudi maana wanachimba sijui vitu gani msaada wenu.
Shikamoo Mheshimiwa Raisi Mama Samia!
Mimi ni kijana muhitimu wa Elimu ya chuo Kikuu nikiwa na Degree ya Uchumi pamoja na Diploma ya Uchumi. Nimehitimu chuo mwaka 2012 hapa hapa Tanzania ila kwa bahati mbaya sikupata ajira sehemu yeyote hadi leo hii.
Nilikuwa na biashara yangu ya duka ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.