Transfer za barua mwaka huu haziruhusiwi kabisa. So ni kusubiria transfer window ifunguliwe online ili uombe, na as far as i know, mpaka transfer kufunguliwa..watu watakuwa wamesharipoti katika vyuo vyao husika.
Kwa wale applicants walioapply kwenye fourth round, matokeo yapo tayari katika profile zao, na kwa sasa CAS inafunguka vizuri tu na CAS ipo open kwa fifth round...nawatakia kila la kheri wanaoapply katika Fifth round...!!!
Hii ndo Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.