Hiyo namba 2 mwenye gari linamuhusu zaidi baada ya kuazimisha gari.
Aliyeazima akirudisha inabidi uangalie kwanza, inawezekana alipigwa fine, af akasahau/akauchuna kukwambia baadae unakuja kuingia gharama mwenyewe wa kuzilipa.
Ipeleke kwa fundi ikakaguliwe, kuna gari ina 1500cc ilikuwa inatumia 9km/l. Ilikutwa na tatizo la Oxygen sensor mass air and flow sensor na nozzle moja ilikuwa inamwaga mafuta zilipobadilisha ikaanza kutumia 15-16km/l.
Inawezekana na gari yako ikawa na tatizo kati ya hayo.
Kuna sehemu Makonda kasema anaenda kuwapa matumizi au wanawake wote hao kaongea nao yeye?
Alichosema wanaenda pale kupata msaada wa kisheria, ndio maana kuna wanasheria pamoja na wataalamu toka ustawi wa jamii ambao ndio wanawasikiliza hao wakina mama.
Tatizo kubwa tuna chuki ya kila kitu...
Tafuta za glass ina zina bei kidogo around 40k. Kuna nyingine zinakuwa kama hizi protector za kawaida ila nyingi naona huwa zinauzwa set inakuwa na protector ya kioo cha mbele na nyuma. Tatizo lake baada ya muda mfupi sana u clear wake huwa unapotea na kufanya display ya simu kutokuonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.