Search results

  1. MARO BM

    Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

    Elimu Elimu Elimu! Kusoma twajua cc,kupuuzia siye tusisahau kufa ni mmoja mmoja. AMINA.
  2. MARO BM

    Nikijibiwa hili nahamia Chadema

    Nani kakudanganya kuwa kuhusishwa ndo kufanya? No Research No Right To Speak! Upinzani upo kwa Ajili ya kuisema Serikali ili itekeleze Majukumu yake,na sio kama unavyosema wewe eti Chadema wamefanya nn. Keti Chini Jifunze ndo urushe Thread Humu.
  3. MARO BM

    Nikijibiwa hili nahamia Chadema

    Uvivu wa kufikiri.
  4. MARO BM

    Viongozi wa juu wa CHADEMA mna ubaguzi na upendeleo

    Uhuru wa kuongea hauna relationship na ukabila.Watch out huko ni kufilisika kimawazo.
  5. MARO BM

    Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

    Juz kati apa nliweka jero kene simu nataka kujiunga,nlipoanza process nkaambiwa ongeza salio kwanza.Nadhani ata mm nimeanza kulipa kwa Installment isiyokuwa na Agreement. Nafikiria kurejea kene S.L.P. yangu.
  6. MARO BM

    Neno 'siri' lilivyotumika vibaya kufungia gazeti la mwananchi

    Ni Kweli Waache wafu "wajisike" wenyewe Mangi.
  7. MARO BM

    Clouds hawajui tofauti na maana ya maneno: Fursa na hamasa

    Ila ninachokifikiria hapa kutokana na michango mingi ni kwamba tunaweza ku-digest na kusema kuwa ni vigumu kuelezea fursa zilizopo bila kupitia success stories,namaanisha kuwa huwezi pata opportunity bila ku-via success stories.Success stories zinaamsha msgawasha
  8. MARO BM

    Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

    Du umecomment kama vile msaani wa taarabu! Watanzania wengi ni maskini wa hali ya chini,kipato chao ni chini ya dola 1 kwa siku ww uajifanya eti wakate kuanzia January ,kama una hela chafu ni za kwako bhana.
  9. MARO BM

    Viongozi wa juu wa CHADEMA mna ubaguzi na upendeleo

    mkuu hayo ndo maneno mabadiliko ni lazima.
  10. MARO BM

    ajira mpya za walimu 2013-2014

    Acha kusubiri subiri piga ujasiriamali.
  11. MARO BM

    Mishahara ya SUMATRA kufuru

    Mwambie huyo ndo katoka shule.
  12. MARO BM

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Arusha - Kondoa mob: 0754 954 654
  13. MARO BM

    Tatizo la Kuvimba Miguu: Chanzo, Ushauri, dawa na tahadhari (pamoja na wajawazito)

    Shkamooni Wana JF Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia Afya njema. Jambo la pili na la msingi ni kuhabarisha umma kuwa tatizo la kuvimba miguu linasababishwa na shinikizo la damu. Kama kuna sababu nyingine Mahsusi inayofanya miguu kuvimba zitoe hapa.
  14. MARO BM

    Nbaa tunataka tuone marks zetu!

    Hata kama wapo good kwenye Marking point hapa ni OPENESS
  15. MARO BM

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Hakina la kuongeza yote ni MEMA.
  16. MARO BM

    Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

    Hiyo ni hadithi! Ipeleke kwa Chei chei.
  17. MARO BM

    Ni nini huduma ya kwanza kwa mtu aliyemwagiwa tindikali?

    Ww mwenyewe upo hararini kumwagiwa tindi "watch out",kuna mchangiaji ameshauri vzr sana bhana Icredible wakati umefika wa kutembea na BASE/ALKALI ili ngoma ikipuliziwa uji-dilute mwenyewe. Jihadhari Sheikh.
  18. MARO BM

    Mwanamke huyu simwelewi ana Mume na watoto watatu lakini bado hajatulia!

    Mamdenyi ivi kweli anaweza kunipa namba za mumewe? Naona ni ngumu sana. Laa kucha Mambdenyi.
Back
Top Bottom