Nani kakudanganya kuwa kuhusishwa ndo kufanya?
No Research No Right To Speak!
Upinzani upo kwa Ajili ya kuisema Serikali ili itekeleze Majukumu yake,na sio kama unavyosema wewe eti Chadema wamefanya nn.
Keti Chini Jifunze ndo urushe Thread Humu.
Juz kati apa nliweka jero kene simu nataka kujiunga,nlipoanza process nkaambiwa ongeza salio kwanza.Nadhani ata mm nimeanza kulipa kwa Installment isiyokuwa na Agreement. Nafikiria kurejea kene S.L.P. yangu.
Ila ninachokifikiria hapa kutokana na michango mingi ni kwamba tunaweza ku-digest na kusema kuwa ni vigumu kuelezea fursa zilizopo bila kupitia success stories,namaanisha kuwa huwezi pata opportunity bila ku-via success stories.Success stories zinaamsha msgawasha
Du umecomment kama vile msaani wa taarabu! Watanzania wengi ni maskini wa hali ya chini,kipato chao ni chini ya dola 1 kwa siku ww uajifanya eti wakate kuanzia January ,kama una hela chafu ni za kwako bhana.
Shkamooni Wana JF
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia Afya njema.
Jambo la pili na la msingi ni kuhabarisha umma kuwa tatizo la kuvimba miguu linasababishwa na shinikizo la damu.
Kama kuna sababu nyingine Mahsusi inayofanya miguu kuvimba zitoe hapa.
Ww mwenyewe upo hararini kumwagiwa tindi "watch out",kuna mchangiaji ameshauri vzr sana bhana Icredible wakati umefika wa kutembea na BASE/ALKALI ili ngoma ikipuliziwa uji-dilute mwenyewe. Jihadhari Sheikh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.