Mlete wa kwako kwasabb amekosa malezi ya baba na mama ndo ataweza. maana mnazaazaa tu na hamuwatunzi mnaishia kutelekeza familia na ndio hao wanaokuja huku hakuna mtoto mwenye malezi bora na maisha bora ambae mzazi wake anawajibika kikamilifu utegemee atakuja huku. wakwangu hawezi kuja huku kuja...
Na pia kwa kipindi 2005 kurudi chi migodi ilikuwa haijaenda mbali lakini leo hii migodi inafikia km 1 na mt 400 kwenda chini mtoto hata weza hy kazi. Kwa kipindi cha nyuma napo watoto walikuwa hawafanyi kazi wao walikuwa ni kutumwa kutoa taarifa tu na vitu vidodog kulingana na umri wao. (Ngoma...
sikutegemea kama huyu Zito kabwe na umaarufu aliokuwa nao na heshima aliyojiwekea kwa watanzania leo hii hatihati kuvuliwa uanachama? kweli ngoma ikivuma sana hupasuka.
kazi rahisi maneno meeengi ya nini? mwambie nimechoka kukubeba Kila siku kukupeleka kazin kwako. akiuliza kwa nn? mtiririshie Uzi wake. atanunua lakwake magari bei ya nyanya mpaka ml 9 unapata gari nahiyo kashindwa? kama vp nitumie no. zake kama unaogopa kumwambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.