pc sana sana una angalia specification ilizo nazo, generation. kwa beii hapo kwa dukani kama andaa kuanzia 400k au zaidi.
Nyingi uwa zinakuwa refribushed pia usisahau kuangali processor ake apo sas utaangalia unataka prossessor ipi..
biashara uwa kweli ni ww mwenyew na akili yako. mm idea zilikuwa nyingi sema zote naona zinanipunguzia muda wa masomo nikaona isiwe mbaya kuuliza uku jf idea ambazo unaweza ukafanya uku unaendelea na kusoma. ubarikiwe [emoji120]foxy.
aah shukrani sana ngoja nianze kupost viatu maan kuna kuna jamaa ana duka la viatu alafu sikuwahii kupata wazo kama iloo shukranii [emoji120] ubarikiwee mjomba..
Kuna uwezekano ukaanza biashara na mtaji wa laki 1 na uku bado unasoma.
Dah na kama upo ni biashara gani maana maisha ya kuwa tegemezi some time yanachosha. kama inawezekana ushauri wako plz na idea ili tuongeze uwezo wakufikiri kutafuta pesa na tuweze kuwekeza.. tujikwamua kwenye tegemezii...
Rejea mada tajwa apo juu, haswa play station (PS). Nauliza upatikanaji wa PS (3,4au5) zinapatikana kwenye maduka gani ukuwa Arusha au Tanznia kwa ujumla na beii zake zikoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.