Tatizo la CUF ni UBAGUZI, ukitaja kujenga historia visiwani hilo halipingiki lakini lazima ujue hiyohiyo historia ndio imewabeba kuweza kudumisha upinzani Zanzibar. Siasa za visiwa vya Zanzibar na Pemba ni za KIHISTORIA na hadi sasa zipo lakini majina ya washikadau yamebadilika. HIZBU na...
duuh, nchi inaelekea sudan, huna hata haya we mtu gani unaleta ukabila, udini. 4 ur info nchi hii hatutokubali siasa za upupu kama zako. nyau wee. POTEA MWANA HIZAYA.:alien:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.