Yaeh jambo zuri umeongea apo hadhi zina mate kwa mfano kama education level nimempita then uchumi tuna level yeye alikuww anafanya kazi cape verde hoteli zanzibar now kaacha tu na mimi nipo ofisini then naona kila kitu tuna match na ndio maana nae amenichagua niwe rfk ake anaona tupo sawa so...
Wakuu nina urafiki na binti mmoja mzuri mno ana asili wa kizanzibar ni pisi kweli watu mtaani wanadhani sisi ni wapenzi ila ni marafiki wakubwa tuna urafiki wa miezi minne sasa wakuu wakati mwingine ni ngumu mno kuwa na urafiki na demu mkali ila najitahidi sana.
Binti yupo single na mimi nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.