nakereka na hili swala kila mtu anachangia upande wa chama chake embu tuangalie tanzaina kama
tanzania huyu ndugai huyuuuuuuuu ipo siku yake tuuuu we subiri tuuu,
jamani wana jamiii mie ni mpya mambo zenu nimefuatilia sana na nimefurahishwa a mchakato mzima wa jamii forum. hodi hodi jamani natumai wote wazima wanajamii na mtanipokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.