Mleta thread ana point hapa wala asibezwe. Kuna watu wako tayari kununua simu ya bei kubwa lakini kula kulala tene miaka yake ishavuka 30, sasa mtu kama huyu inamhusu huyu
Wakuu habari.
Mimi ni mhandisi ujenzi, nafanya kazi taasisi ya serikali kwa miaka 2 sasa hapa Dar es Salaam.
Natafuta kazi isiyo na malipo katika civil engineering consulting firm(Structural Engineering). Kama tutakubaliana naweza kuwa nafanya full time siku mbili hadi tatu kwa...
Mimi huwa nashangaa hizo TV kuchukua picha kiupande.Tena wameanza Arumeru. Najiuliza kweli kuna umuhimu gani wa kuripoti taarifa hizo kama wanakuwa hivyo. Si bora waache tu
Hadi sasa Madaktari ndio wanalipwa zaidi kuliko kada nyingine. Tujiulize kwa nini hao wengine wapo kimya. Kuna uwezekano wana njia za mkato zinazowafanya kupata pesa kama kupata 10% kwenye miradi au kuiba pesa za umma
Huyo anaitwa Wenzi aka WENZI MAN, nilishawahi kumkuta Shule ya sekondari George Washngton anafundisha, tukiwa tunaongea akasema anataka kujiunga na UDSM mwaka huo (kumbukumbu zinaonyesha ilikuwa 2008). Wakati rika lake walikuwa tayari kwenye ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.