Search results

  1. M

    ni ulimbukeni (UBOYA) kuwa na simu ya gharama.

    Mleta thread ana point hapa wala asibezwe. Kuna watu wako tayari kununua simu ya bei kubwa lakini kula kulala tene miaka yake ishavuka 30, sasa mtu kama huyu inamhusu huyu
  2. M

    Selection ya masters Udms

    GPA nzuri ni ya ngapi?
  3. M

    Nani aliyewaroga wabunge wa CCM kama huyu mheshimiwa?

    Dawa yao ni kuwashughulikia wakipita mitaani
  4. M

    Vijana wa Chadema Mwalikeni Malemo

    Ndio yule mwenye geto lililoletwa hapa JF
  5. M

    Nampenda Jokate, nitamfukuzia mpaka ni mkamate

    Unataka kusafisha nyota?
  6. M

    Dawa na njia mbadala za Kupunguza unene/uzito | Weight Loss techniques and advice

    Kata tumbo peke yake haikubali. Anatakiwa apunguze kwanza uzito
  7. M

    Namna ya kumkamata mwanaume!!

    Hapo ndipo tatizo. Mwnamke ukimpenda mpaka kuacha kufikiria wanawake wengine unaanza kufikiria kwamba kuna karimbwata kumbe anajua kuhandle
  8. M

    Naombeni ushauri

    Asante kwa ushauri wenu, sasa nina kilo 76. Bado naendelea na mazoezi
  9. M

    Civil engineering consulting firm(structural engineering)

    Wakuu habari. Mimi ni mhandisi ujenzi, nafanya kazi taasisi ya serikali kwa miaka 2 sasa hapa Dar es Salaam. Natafuta kazi isiyo na malipo katika civil engineering consulting firm(Structural Engineering). Kama tutakubaliana naweza kuwa nafanya full time siku mbili hadi tatu kwa...
  10. M

    Je, tatitzo ni jf au ni itv na tbc???

    Mimi huwa nashangaa hizo TV kuchukua picha kiupande.Tena wameanza Arumeru. Najiuliza kweli kuna umuhimu gani wa kuripoti taarifa hizo kama wanakuwa hivyo. Si bora waache tu
  11. M

    Nimechoka kuuumiza kichwa, sasa naliweka wazi

    Na wewe ni great thinker. Ovyo
  12. M

    Nimechoka kuuumiza kichwa, sasa naliweka wazi

    Kwani Walimu hawana nafasi kwenye sekta binafsi. Madaktari je?
  13. M

    Nimechoka kuuumiza kichwa, sasa naliweka wazi

    Hadi sasa Madaktari ndio wanalipwa zaidi kuliko kada nyingine. Tujiulize kwa nini hao wengine wapo kimya. Kuna uwezekano wana njia za mkato zinazowafanya kupata pesa kama kupata 10% kwenye miradi au kuiba pesa za umma
  14. M

    Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

    Huyo anaitwa Wenzi aka WENZI MAN, nilishawahi kumkuta Shule ya sekondari George Washngton anafundisha, tukiwa tunaongea akasema anataka kujiunga na UDSM mwaka huo (kumbukumbu zinaonyesha ilikuwa 2008). Wakati rika lake walikuwa tayari kwenye ajira
  15. M

    Nimeaua kutegua sasa

    Asante sana mkuu. Ushirikiano wako unahitajika sana
  16. M

    Nimeaua kutegua sasa

    Nitatumia rada kabla sijatega mkuuu
  17. M

    Nimeaua kutegua sasa

    Asante sana mkuuu
  18. M

    Nimeaua kutegua sasa

    Kabla sijategua, nitafanya utafiti kwanza ili nisiteleze
Back
Top Bottom