Yaan naumia sana kwa sisi wavulana/wanaume kuona wadada zetu hawawezi kujitegemea mpaka now tuna wadharirisha mitandaoni 😭 ili sio vizur na aileti picha nzuri katika jamii serious.
Please tuache hii tabia. Na pia wakina dada msijirahisishe sana ni ushauri tu. Note ushauri unaweza kuhufata au...
Baadhi za taasisi za technologia, kampuni za serikali na binafsi Wana uhaba wa mafundi nchuno wa kike( engineer wa kike).
nin chanzo la ili tatizo. a)Elimu ya msingi na sekondali. b) Wanafunzi wa kike kuona ugumu kwenye masomo ya science . c) Elimu ya jinsi kuhusu Engineering kwa watoto wa kike...
Daah kwa kweli siku hzi wafugaji na wakulima kuna migogoro mbalimbali hutokea Kila siku.
Mifugo kula mazao ya wakulima inapelekea migogoro mbalimbali hata vifo pia.
Tutafanya nin ili kupunguza mogogoro na vifo hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.