Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzani.
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezimungu muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.
Naam nimeamua kuandika hili andiko ili tuweze kupeana maarifa mbali mbali katika jamii yetu tunayoishi.
Ajira, Ajira, Ajira hili ni neno lenye...
Tanzania ni nchi ya Amani na Utulivu na hii ni tunu tuliorithi tangu vizazi na vizazi na sisi hatuna budi tuwalithishe vizazi vijavyo.
Amani ndio Chanzo na mafanikio ya kila kitu katika maisha ya kila siku kwa mwanadamu na anavyovimiliki mwanadamu huyo kuthibitisha hilo viongozi mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.