POLE sana.hapo lazima uhusike kuubeba mzigo.hukuweza kumuasa mdogo wako juu ya huyo hg kuwa ni mapepe kwan ulishajua kuwa anatega.hizo ulikuwa unaleta lawama tu kwa dogo.ee ndo matunda ya kuachia uchi bila mpangilio mwache avune matunda.sisi wanaharakati tuko nyuma akitoa tunasweka ndani.
ni rahsi sana nilishawahi kuwa hyo kitu lakn now niko poa.acha kutumia mafuta au pafumu we tumia mafuta ya mgando na ogea sabuni ambazo hazna harufu yeyote na kunywa maji meng utanipa majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.