Mashabiki wa yanga pigeni kelele na vigeregere
Kombe la msimu huu ni lenu
Msimu huu kuna maajabu ambayo Mashabiki wa mpira barani africa watashangaa
Kifupi tu timu ambazo wengi walizoea kuona zikicheza final ya club bingwa hakuna hata moja itafika final ya club bingwa
Mimi sidhani kama mamelodi itawatoa yanga ni suala la Muda tu
Shikeni maneno yangu haya mamelodi akiwatoa yanga mniite mbwa nimekaa hapa.
Na sio kwamba naongea kishabiki maana kuna wengine wanakuwa na tabia ya kusema Mashabiki wa yanga hawana akili Sawa sijui nini.
Ila ukweli Mamelodi...
Kuna watu Fulani kwasababu ya kutumia akili za matakoni wanasemaga kuwa eti kumkataa mkewe kisa tu kakusaliti ni ushamba hata sisi wanaume tunachepuka kuliko wanawake
My bro’s nataka niwaambie siku zote mwanaume katika kuchepuka kwake anatumia akili
Mwanamke anatumia hisia
Mwanaume ata...
Hakuna timu ambayo ina uwezo wa kuleta kombe la Africa Tanzania zaidi ya Yanga
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/Hakuna-timu-ambayo-ina-uwezo-wa-kuleta-kombe-la-Africa-Tanzania-zaidi-ya-Yanga.2036654/
Mwaka 2022 nilipost post nyingi
Kuhusu yanga
Nilisema yanga nilidude likubwa...
Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile
Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma...
Kuna watu wanakuwa na tabia ya kuhukumu wanaume kisa tu wameona wanawake wao wanalia akili zao zinawatuma moja kwa moja kuwa wanateseka saana kwenye ndoa zao saana
Ila ndugu zangu wanawake ni waongo saana.
Don’t take your time kumpa haki mwanamke kisa tu analia
[emoji23][emoji2][emoji1][emoji3]...
Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
Kuna vijana wanatumia madawa hao na wengine wana vitu vikubwa kinoma
Akilala na mwanamke mpaka mwanamke Ana rizika na kufurahia tendo
Kwa bahati mbaya ukija kuoa mwanamke Kama uyo alafu uwezo wako uwe chini zaidi ya Yule ex wake kwenye tendo la ndoa hakika utateseka...
Najiulizaga Mimi juu ya maombi haya ambayo watu wanaombaga kanisani na misikitini.
Je, ni kweli hivi ndivyo wanavyo muombaga Mungu au watu ambao walikuja kutupa dini walituficha system ya kumuomba Mungu na anasikia hapo hapo na kutowa msaada
Nina brother yangu fulani ambaye ni mchungaji huyo...
Tunaambiwa kuwa kila binadamu ana malaika wake ambaye anamlinda lakini ninachoshangaa ni kuwa watu wanarogwa watu wanasumbuliwa na Majini na aina nyingine ya matatizo kwani kipindi Majini na wanadamu wanapokuwa wanamtendea mwanadamu mwingine mabaya kwenye roho wale Malaika wetu walinzi...
Mimi nikijana Nina mke na watoto 3
Baba mwenye nyumba wangu yeye na mke wake walishikwa na polisi
Uku mwalimu wa mtoto wangu naye ivo ivo akiwa anaumwa
Mke wangu aliniambia kuwa baba Mkwe wangu ( yaani baba yake na mke wangu ) naye tulikuwa naye kwenye club usiku wa Jana
Mimi nilivyo cheka...
Kwenye maisha ni kawaida kusikia kila binadamu Anapata stress kutoka na situations ambazo anapitia kwenye maisha yake
Lakini kwangu hali hiyo ni tofauti kabisa
Mimi sinaga hisia za kuumizwa na kitu chochote
Kila kitu nachukuliaga kawaida tu kiwe kigumu kwangu au chepesi akili yangu haiwezi...
Hivi nafikiria kabisa kwa undani
Sheria ya kuoa mke mmoja kwetu sisi wakristo imetoka kwa Mungu au kwa wanadamu?
Kama ni kwa Mungu je Mungu alishindwa kabisa kujua kuwa mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja?
Hiyo sio tamaa ni kama nature yetu sisi wanaume.
Kwa wale ambao wameoa tayari...
Yanga wana timu mzuri saana
Sio tu Timu Nzuri pia yanga wanacheza vizuri
Wanatakiwa kurekebisha makosa madogo tu
Ili wawe bora zaidi na makosa hayo ni kujifunza jinsi ya kutumia nafasi ambazo wanatengeneza
Na kuboresha defance Yao tu kidogo
Wakifanya ivo hakika kwa mpira huu wao wa short pass...
Hata Kama unamuomba Nani Imani yako na kupambana kwako ndo Siri ya mafanikio yako
Kila mtu Ana ndoto yake hapa duniani
But my friend kutimiza ndoto yako sio jambo jepesi kupambana peke yake hakuwezi kukufanya utimize ndoto yako
Katika maisha kuna vikwazo vingi ambavyo vinamsumbuwa mwanadamu...
Kuna mke wa mtu ambaye natoka naye kwasasa tuna takribani siku 4 toka tupendane cha ajabu Mume wake ameweka picha yangu kwenye profil yake ya Facebook hii inamaana gani
Kumlinganisha felix tshisekedi na moise katumbi ni matumizi mabaya ya akili.
Hata vitabu vya Mungu vinasema kuwa
Kila mtu uongezewa kitu akiwa nacho
Sio kwamba ataongezewa akili na wakati Hana akili
Felix tshisekedi kabla ya kuwa rais alikuwa muuza pizza [emoji487] uko beljiji
Moise katumbi...
Tayari Felix Tshisekedi ameanza kuonyesha Dalili ya kushindwa kwenye kampeni hizi.
Tayari sheria ya nchi yetu imeamuru kuwa Moise Katumbi ni mkongomani na ana haki ya kugombea urais wa nchi hii.
Inawezekanaje Felix Tshisekedi kwenye kampeni zake anatumia maneno ya kibaguzi kumtukana mpinzani...
Nina tatizo ambao wanajua naomba wanisaidie toka niowe mke wangu kwasasa tuna wiki 3 na nusu toka tuoane
Ila kila nikipiga game na mke wangu uume wangu unasimama kwa mda mrefu bila kulala na kwa bahati mbaya si mwagi kabisa na nikibahatika kumwaga na mwaga kidogo
Japo mke wangu Ana enjoy...
Miezi kazaa uko nyuma niliwahi kusema simba wao wanawekeza kwenye propaganda na wakati wenzao yanga wame focus na mpira
Usajili wa simba wote mnajua ulivyokuwa na vurugo sijui Che Malone
Sijui Onana mambo mengi ya kasemwa leo kiko wapi
Yaani nyinyi munabishana na watu ambao wameshawahi kuonja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.