Write your reply...Wanaomlinda Trump uwezi kuwaona lakini anapokuwepo kunakuwa na ulinzi everywhere.Kiufupi ni kwamba ulinzi wa kisasa uko kitekinolojia zaidi na sio kama tunavyofanya sisi ,ulinzi wa mheshimiwa ni wakimaonesho zaidi, watu welioshika bunduki wamezunguka everywhere na wenyekupenda...
Jana nilienda Polisi kutoa lost report kwani nilikuwa nimepoteza kitambulisho cha mpiga kura, nilienda kutoa taarifa kwa ajili ya usalama wangu na pia ili nijiandikishe tena kupata kitambulisho kipya cha mpiga kura, nilikuwa surprised pale ambapo polisi moja aliniuliza kwani wewe kitambulisho...
Ulichosema ni sahii kabisa, unajua aina ya wachezaji unaowatumia kwa kila mechi inategemea sana aina ya team unayocheza nayo, na target ya team katika mchezo husika. Kwa mfano unapocheza ugenini definitely utahitaji kujilinda zaidi, kwahiyo utachezesha viungo wengi wakabaji badala ya viungo...
usijilaumu kuto kumpigia kura yako, hiyo kura uliyomnyima ndio imemshitua na kumfanya yeye kuwa mbogo.Na hivyo ndivyo democrasia inavyotakiwa kuwa na ndio matunda yenyewe ya democrasia.
Nyie wandugu mnachanganya mambo Mh raisi hajafuta kabisa safari za nje, ila anachofanya ni ku-cut down safari za nje ambazo hazina tija kwa taifa kwa mfano ile safari ya USA ya mheshimiwa flani na aunt Ezekiel.It was the wastage of public money!
Dah yule jamaa ni kichwa cha ukweli, kama kuna watu Tanzani/Africa tunatakiwa kujivunia yeye ni moja kati yao!Tanzania tungekuwa na watu wa aina yake kumi tungevuka kutoka hapa tulipo kwenda mbele zaidi.
Hapo Zec na Nec wamechemsha mbaya kabisa, logically Zec kufuta matokeo ya Zanzibar means wamefuta na ya Muungano pia.Ila kwasababu nnchii sheria zinaamuliwa kutokana na matakwa ya watawala/ra basi kila kitu kitasakafiwa kama wanavyotaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.