Search results

  1. S

    Kama ni wewe ungeliweza?

    Jamaa mmoja katika bar alisema hivi:- Jamaa: mhudumu nipe kinywaji na kila mmoja mpe kinywaji humu ndani mana wakati mimi nakunywa beer basi lazima kila mtu apate yake...... Mhudumu kwa haraka haraka akagawa vinywaji,,,,,, Jamaa akasema tena: mhudumu nipe supu nakila mtu humu ndani mpe supu mana...
  2. S

    Mwalimu v/s Mwanafunzi

    Apo hata mm sifahamu kilichotokea
  3. S

    Bakhili

    Baada ya kupasi mtihani Bakhili alimnunulia mwanawe toy car kama alivyomuahidi, mtoto akafurahi kisha akamuuliza baba yake ziko wapi batery zake? Bakhili: batery nitanunua ukipasi mtihani wa mwakani!!!
  4. S

    Mimba

    Msichana mmoja alipata mimba akiwa bado ni mwanafunzi, mama yake akamwambia hivi:- Mama: mwanangu mm si nilikwambia mtu yoyote akikushikashika maziwa umwambie "DONT". Binti: ndio mama. Mama: na kama akikushikashika mapaja umwambie "STOP". Mtoto: ndiyo mama lakini yeye alinishika vyote kwapamoja...
  5. S

    Mwalimu v/s Mwanafunzi

    Mwalimu: Maandazi matano ukitoa mawili yatabakia mangapi? Mwanafunzi: kama ukinipa na supu halibaki hata moja
  6. S

    Mwalimu v/s Mwanafunzi

    Mwalimu: Maandazi matano ukitoa mawili yatabakia mangapi? Mwanafunzi: kama ukinipa na supu halibaki hata moja
  7. S

    Pesa

    Wakat nipo hai wala sikati tamaa ipo siku
  8. S

    Tuwe tunawahi

    Hahahaaaa yani nataka kulia kwa aibu
  9. S

    Pesa

    Dah! Kama linaelekea vile hahahaaaa kweli mkuu ila nitajitahidi kujita jina langu hili hili
  10. S

    Pesa

    Safi sana ila la kwangu halibadiliki
  11. S

    Pesa

    A.k.a You can see me! Haina mbaya
  12. S

    Pesa

    Pesa chafu inaweza ikambadilisha mtu kwanzia jina tabia, mavazi (unavyovaa) mpaka mavuzi (unavyovua)
  13. S

    Pesa

    Mh.... Lakini haina mbaya mkuu
  14. S

    Pesa

    Big up (y)
  15. S

    Kama Si Mswahili Usisome Mlolongo huu!!!!

    Mimi mchina sio mswahili ila nimekosea tu kufungua hapa so chi.... chan..suuj park...kumaayoo....
  16. S

    Utamu upo wapi?

    Pamoja mkuu
  17. S

    Utamu upo wapi?

    Hahahaaa jibu sahihi huenda likawa hili la wadada na wakaka hahahaaaaaaaaaaaaaa
  18. S

    Utamu upo wapi?

    Sio kama mkorofi ila mm huwa napata tabu kufaham utamu mana biriani halitiwi sukari lakini ukila utajiramba na hata vp mbona vya chumvi vinakuwa vitamu? Au hujala wali kwa haragwe mzee? Au vileja vya chumvi ni noma utamu mpaka utosini
  19. S

    Pesa

    Full heshima mkuu
Back
Top Bottom