Jamaa mmoja katika bar alisema hivi:- Jamaa: mhudumu nipe kinywaji na kila mmoja mpe kinywaji humu ndani mana wakati mimi nakunywa beer basi lazima kila mtu apate yake...... Mhudumu kwa haraka haraka akagawa vinywaji,,,,,, Jamaa akasema tena: mhudumu nipe supu nakila mtu humu ndani mpe supu mana...
Baada ya kupasi mtihani Bakhili alimnunulia mwanawe toy car kama alivyomuahidi, mtoto akafurahi kisha akamuuliza baba yake ziko wapi batery zake? Bakhili: batery nitanunua ukipasi mtihani wa mwakani!!!
Msichana mmoja alipata mimba akiwa bado ni mwanafunzi, mama yake akamwambia hivi:- Mama: mwanangu mm si nilikwambia mtu yoyote akikushikashika maziwa umwambie "DONT". Binti: ndio mama. Mama: na kama akikushikashika mapaja umwambie "STOP". Mtoto: ndiyo mama lakini yeye alinishika vyote kwapamoja...
Sio kama mkorofi ila mm huwa napata tabu kufaham utamu mana biriani halitiwi sukari lakini ukila utajiramba na hata vp mbona vya chumvi vinakuwa vitamu? Au hujala wali kwa haragwe mzee? Au vileja vya chumvi ni noma utamu mpaka utosini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.