Search results

  1. Wacha

    Cash app ipi ambayo mtu aliye Tanzania anaweza kupokea pesa kutoka Marekani?

    Jaribu World remit online, haichukui muda kwenye mtandao.
  2. Wacha

    Taarifa kwa Umma: Rais Samia Kufanya Mahojiano na TBC Januari 27, 2022

    Ulitaka ajiandae vipi? Hapo ndipo kajiandaa tayari.
  3. Wacha

    Hongera serikali ya CCM, malipo ya ndege tano, mradi wa kufua umeme (JNHPP) yafanyika bila mkopo

    Malipo ya awali ni asilimia ngapi? Hizo ndege zinakuja lini? Habari nusu nusu bora kukaa kimya.
  4. Wacha

    Tanzania Railways Corporation - Promote And Manage Rail Infrastructure Assets

    Nipo nachungulia tu .... .... ..... .... khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  5. Wacha

    Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

    Waambie wakatafute maji Texas kwanza kabla ya kuvamia ya Tanzania.
  6. Wacha

    Wasifu: Huyu ndiye Dkt. Bashiru Ally

    Asiyejua maana, haambiwi maana.
  7. Wacha

    Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore

    Nchi gani unafanyanya biashara bila kulipa kodi?
  8. Wacha

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    April mapema sana, bado kazi zipo nyingi zimebaki. Vile vile kuna kazi ya kuweka fence njia nzima ambazo bado kuanza then kuna running trials angalau miezi kadhaa. Hii hadi Morogoro kwa maoni yangu itaanza rasmi October November 2021. Order ya mzigo bado kutua Bandari salama nk. Hata hivyo...
  9. Wacha

    Mojawapo ya masharti ya STATUS ya Lissu nchini Ubelgiji

    Lisu ni bogus tu, hana lolote ataozea Belgium na atarudi kama Kambona alivyofanya, historia huwa inajirudia. Tanzania inasonga mbele haibabaiki na makuwadi wa wazungu.
  10. Wacha

    Tanzania ni “kichwa cha mwendawazimu”, kila mwenyekiti wa CCM Taifa hujifunzia hapo!

    Mbona umeshakuwa n i Waziri Mkuu wa Tanzania ya kusadikika au hu-pendi? Yule mwenzako amekuwa Rais wa Belgium na tayari ameomba poo maana anaomba maridhiano. Sasa hayo maridhiano ndio yatampa mpunga au ndio ulaghai wa Amsterdam. Watanzania walisikia pimbi wakipiga filimbi na zumari baada ya...
  11. Wacha

    Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

    Tanzania ni tajiri, biashara ya kuwa watumwa kwenye nchi yetu iliisha tulipopata uhuru na JPM ameamua kuiondoa nchi hii kwenye utumwa mambo leo. Sasa kama kuna makuwadi wa hizo nchi walifikiria sisi ni shamba la bibi imekula kwao. Hapa kazi tu!
  12. Wacha

    HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?

    JPM ametoka kidedea, wana JF pamoja na kumponda, hivi sasa wanaishi kwa amani bila Covid 19.
  13. Wacha

    Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    Why should the Chinese do that? Its your own responsibility to revive your own industries.
  14. Wacha

    Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    Dreaming is good for your health.
  15. Wacha

    Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    They should die like flies for what they've done to the African continent.
  16. Wacha

    Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    In terms of the US dollar it's about time, its coming to an end. I can see the future in Gold. Just check the price of gold recently climbing from around 1300 per ounce to about 1900. Things are changing and there is a new Sheriff in town.
  17. Wacha

    Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    Even the Roman empire lasted for several years.
  18. Wacha

    Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    Move over America: China overtakes US as world's biggest economy (kind of) Move over America: China overtakes US as world's biggest economy (kind ''China has finally overtaken the USA as the world's biggest economy - at least when the figures are adjusted for Purchasing Power Parity. According...
Back
Top Bottom