Amefanya maamuzi ya kitoto sana hata kama Kuna ukweli juu ya swala hili ilibidi atumie busara kwenye kulisolve sio kwenda kwenye social media
Makampuni mengi yataanza kumuogopa kutokana na huo Uswahili aliofanya.
Inabidi elimu ianze kutolewa kwa hawa vijana wanaopata umaarufu wa haraka jinsi...
Waziri wa Ulinzi wa Taiwan ameonya kuwa mvutano wa kijeshi dhidi ya China umefikia hatua mbaya zaidi katika kipindi cha miaka 40 na ametoa tahadhari uwezekano wa mashumbulizi kati ya nchi hizo mbili.
----
Uhusiano wa kijeshi na China ni mbaya zaidi katika miaka 40, waziri wa ulinzi wa Taiwan...
Kenyatta na nduguze 6 wanatuhumiwa na kashfa nzito ya matumizi mabaya ya hela.Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kukanusha suala hilo imetolewa..Nawasilisha.
Tutegemee kumuona Kibu akivaa tena jezi ya Taifa baada ya sakata lake kuisha.
===
Chibu Denis (kushoto) akiwa katika kikosi cha Taifa Stars. Kulia ni John Bocco
WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.