Kupitia kwa huyu Mkurugenzi nimejifunza kitendo Cha kuwahamisha Viongozi hasa wa kuteuliwa Kila siku kumechelewesha sana maendeleo ya Taifa hili,
Unakuta Mkurugenzi tayari ana work plan yake mara paap analazimishwa kuhama au kuondolewa,
Unaweza ukaona kitendo Cha huyu Mkurugenzi wa Kahama...
Hii Benki ya NMB kwa kiasi kikubwa inaendeshwa vizuri na HR,
Ukiona taasisi inakwenda vizuri angalia human resources yao ikoje,
Kampuni itakayoweza kuwalinda na kuwathamini wafanyakazi wake hiyo lazima itapiga hatua sana,
Pale NMB kunammasai mmoja ndio chief pale jina limenitoka huyo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.