Taarifa za Polisi za kukubali haya maandamano hazikuonyesha barabara zilizopangwa zitakuwa za maandamano pekee kwa siku na muda husika, taarifa zinaonyesha barabara itatumiwa upande mmoja na mwengine utatumiwa na watu wengine
Swali zuri sana, Yaani sababu wao wanaandamana wanatamani shughuli zote zisimame, kuna muda unaweza kuwaunga mkono watawala kuweka zuio za mambo kama haya
Watu ndo tunaokuza mambo, Chadema waandamane kwa amani huku wakiheshimu haki za wengine za kutumia Barabara, na Polisi wanaongoza kuhakikisha kila kundi linatekeleza haki yake na wajibu wake
Kila mmoja anawajibika kutimiza haki yake bila ya kuingilia haki za wenzake, Chadema na wafuasi wake wanayo haki ya kuandamana inalindwa kikatibu na wamepewa haki hiyo kwa utaratibu ambao hautaathiri haki za wengine za kutumia barabara na kuendelea na shughuli zao nyengine.
tunamiliki mpira hatuna hata shot moja golini, Wachezaji hawana ujasiri kabisa wa kupush mashambulizi mbele wanacheza nyuma tu pasi nyingi sana, Kocha ka relax haoni kwamba dakika ya 70 hamna hata shot afanye sub amekaa tu, wenzetu washabadili wachezaji kama wa 4
Ametoka Katika Madaraka karibia miaka 40 sasa je waliomfuata walifanya yapi kusahihisha makosa yake? Tena yeye alijitahidi sana walau kipindi chake miji ilipangwa vizuri na kueleweka
Kipindi huyu Mwalimu anapewa vibali na Katibu Mkuu ofisi ya Rais ofisi yako haikuweka Tangazo kuupa umma taarifa.
Hili tangazo umelitoa kwa msukumo wa kisiasa ukiamini unawafurahisha wakubwa zako, inasemekana Mwalimu huyu ni miongoni mwa waliokataa uteuzi wa Rais.
Hapa busara haijatumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.