Life style mkuu. Bia, nyama choma, halafu mafuriko kama hayo mpaka yaje yakukute ukiwa juu ya lori ili utembee na kamba ni mara ngapi inatokea? Ila bia na nyama zipo kila siku.
Inawezekana Malisa na mwenzie wameingia kwenye 18. Huenda palikuwa na ajali kweli. Kama hawana ushahidi wa kukamatwa kwa marehemu na kupelekwa kituoni ambapo wanadai alipigwa basi wana kashughuli.
Maandamano huleta tija idadi inapokuwa kubwa. Mfano, kila mkoa watu waandamane kumkataa kiongozi kila siku kiongozi anatoka.
Mpira ni burudani. Binadamu yoyote huburudika na kuhuzunika. Hata wewe lazima una kakitu kako ambako unakahusudu kanakupa burudani ila ni ka kipumbavu kwenye masikio ya...
Kwa sababu bado ni kijana mdogo Jitahidi uwe nice guy kwa mama na dada zako, kwa mabinti kuwa kijana flani hivi ambaye binti atajisikia hayupo na baba yake au kaka yake ili umri ukifika wa kuamua kutulia still atulie na wewe mtupunguzie wanawake wenye watoto bila uwepo wa baba.
Mama kufika nayo haitoshi? Anyway mambo yenu wasanii mnayajua zaidi ila kwa kawaida mtu akiwakilishwa na mama mzazi naona ina uzito kwa wafiwa kuliko meneja wake.
Sample ulizotumia sio. Ila swali lako bado lipo ila linahitaji utafiti.
Ni kweli usipokuwa na mke unaishi maisha mafupi?
Binafsi sioni uhusiano wa moja kwa moja ila nachojua above 55, kataa ndoa wengi uzalendo huwa unawashinda wanaoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.