Pambana na serikali ilete maendeleo kwa wanna hi wako, hali ya barabara za mitaa, maji na madawati na uchakavu wa majengo hali ni mbaya.. Ya Lema ni ya jeshi la polisi hayakuhusu.
Niseme wazi mimi huwa ni mlalamikaji pindi nikihudumiwa sivyo. Lakini Kwa hili napenda niipongeze wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu chini ya mwanamama mhe. Dkt Dorothy Gwajima.
Nimehudumiwa vizuri pasipo urasimu wowote mpaka kufanikisha usajili wa shirika lisilo...
Msiba umemnyanganya remote control na kumkabidhi mama. Tutalajie kukimbiwa na vijana wake wote. Hana namna tena. Wamasai siyo watu wa kuchezea. Wale wa umri wangu mnakumbuka kifo cha Sokoinne.
Futeni upuuzi huu. Anamchonganisha Askofu Bangoza hajasema hayo. Chuki binafsi kwa kwa Chadema na Shoo pia. Jamii Forum nitawashanga sana mkiachia upuuzi huu uendelee kuwepo hapo.
Site tunajua watoto wetu wa kidato Cha Tano waliaanza shule mwezi wa 8 badala ya mwezi 7. Hii ilienda sambamba na kubadilisha mihula na kupanga wasome mpaka 22 Desemba. Lakini hili limeshindikana na tayari watoto wetu wa kidato cha 5 wameshafanya mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza na wenzao...
Nawiwa kumtafuta huyu mtu nianzishe naye taasisi itakayo kuwa inajihusisha kuielimisha jamii ya makundi ya vyama kujali, kuheshimu itikadi na uhuru wa mwananchi kuwa mfuasi wa chama anachotaka na kuondoa chuki za kisiasa. Huyu atakuwa balozi wa taasisi hii na mamia kwa maelefu waliopata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.