Wife wangu alikuwa navyo vimemtesa sana sana ,kuna dawa ameitumia vimepotea mpaka amebeba na ujauzito,Kama uko Dar nitakuelekeza uende uchukue dawa unywe
ila bawasiri mtu akifanyiwa upasuaji mara nyingi inarudi,kuna jamaa mmoja amefanyiwa operation mara tatu lakin bado hajapona,sasa hivi anapata choo kwa shida kama kalamu iliyovujia wino sometime inabid asile maana akila akapata choo maumivu yake ni hatari,kuna dawa moja imewasaidia wengi na...
Kuna jamaa mmoja nilimsikia anasema habar ya mtoto wake anasema alikuwa na changamoto hiyo na amesumbuka sana na huyo mtoto
wake mpaka kwa sasa ametengamaa na yuko darasa la saba nafikir umpigie atakwambia tiba aliyotumia ,anasema mtoto wake alikuwa analala analia na kusikia maumivu makali sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.