Viongozi wa Yanga nawaomba mfanye maandalizi ya timu mapema siyo mnaleta ligi ya digital design kwani kombe linatolewa kwenye design hiyo.
Watani wetu ndo wamepaa Leo, mkileta mzaha mafanikio tutaona tu kwa jirani ambaye yuko serious.
Sisi tutachukua kombe la digital design
Habari wa bodi wa JF hususani wana michezo.
Moja kwa moja kwenye mada. Kaka GENTA uko wapi sioni maoni yako katika kipindi hiki Cha usajili klabu yetu(Simba) inasajili wachezaji wanaotoka vilabu vinavyoshuka daraja uko kimya Wala haukemei swala hili wewe ndiyo mtetezi na msema kweli pale mambo...
Hbr kwenu wadau.
Kama heading inavyosomeka hapo juu m ni mkulima nipo Dar ila mwaka huu Kuna changamoto nimepitia kiasi cha kupoteza mtaji wa kilimo.
Sasa natafuta mtu mwenye mtaji tushirikiane kwenye kilimo cha vitunguu. Nitakuwa tayari kwa mashart yeyote utakayotaka.
Asanteni
Hi wanaJF
Napenda kuchukua nafasi kuwashuru wamiliki wa MAKAMPUNI ya Mabasi yaendayo mikoni kutuletea huduma yenu Mbagala.
Kwa huku Mbagala tulizoea kuyaona mabasi yaendayo mikoa ya Kusini tu ndiyo inatoa huduma za usafiri na watu wengine wanaotaka kusafiri mikoa mingine lazima udamke saa 9...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.