Safi sana makamanda waziri aache propaganda za kitoto ajitokeze ajibu kwa nini serikali ya ccm inatumia polisi kuua raia wasiokuwa na hatia kama ambavyo imefanya huko Iringa, Tarime, Morogoro, Arusha na maeneo mengine.
Serikali ya ccm ielewe kuwa Leo mauaji haya yanatuuma ila hatufanyi kitu, IPO SIKU maumivu yatatuinua, tutadharau damu, risasi, vitu vizito na mabomu ya machozi ili tuondoe maumivu yetu ya muda mrefu. zen huyo Tendwa msajili wa vyama vya siasa akitaka dunia ijue aanze na kukifuta CHAMA CHA...
Safi sana makamanda waziri aache propaganda za kitoto ajitokeze ajibu kwa nini serikali ya ccm inatumia polisi kuua raia wasiokuwa na hatia kama ambavyo imefanya huko Iringa, Tarime, Morogoro, Arusha na maeneo mengine.
ccm ni sawa na nyoka tuliyekwisha mponda kichwa, hichi kilichobaki na nepi anachokifanya ni mtikisiko wa mkia tu hauwezi kunga'ta lazima mwisho nyoka afe tu. haaaah hhaaaa CHADEMA MWENDO MDUNDO, FICHUA MAFISADIIIIIIIIIII.
Nilweli kamanda mboka yupo fit sana nijambo la kumshukuru sana Mungu kwa haya yote aliyomtendea Dr. mimi mwenyewe nimezungumza nae na kusikia akisema kwa maneno yake mwenyewe kuwa niko fit kwa lolote. nimefurahi sana kwa kurudi kwa kamanda wetu akiwa na nguvu kuliko tulivyodhani, sikuzote ukweli...
Aliyekuwa M/kiti wa Jumuiya ya madaktari MAT anarudi leo siku ya Jumapili saa saba mchana kutoka Africa kusini alipokuwa akiendelea na matibabu, baada ya kutekwa na kuteswa vibaya na watu wanaosemekana kuwa hawajulikani. Akizungumza na wanahabari Katibu wa Jumuiya hiyo anasema kuwa leo kuanzia...
Haha haaa haa mkuu umenifurahisha sana vipindi 80 we ni noma, unavuta bangi kwanza kabla yakuingia class nn?unawezaje? wakati hauna mshahara ila unaposho tu kwa mwezi. acha hayo mambo ya kuwa kama mwl wa zamani bana, hayo mambo mi niyaexperience pia wakati wa REPRODUCTION class inakula nyomi...
nasema hivi walimu msikate tamaa haki ya mtu haiibiwi ila inacheleweshwa tu, endeleeni na mgomo ila uwe baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ambapo mtafika shuleni kama kawaida ila mfanye mambo yafuatayo
1. Muwe mnaita majina tu.
2. Muwe busy ajabu mnaandika lesson plan (andalio la somo) siku nzima.
3...
Zito Oquard kabisa. Sasa Tanzania inanuka rushwa .... tunataka kiongozi anayejua hivyo, ambaye atasema rushwa kwangu mwiko, mwaminifu kabisa kabisa hawezi kugusa rushwa na... watoa rushwa watamjua hivyo. tumegundua zito we unamikono michafu inayonuka rushwa huwezi kucheza na sisi.
Mwalimu Nyerere ktk kitabu chake, Nyufa, cha mwaka 1995 alisema "sasa Tanzania inanuka rushwa..... tunataka kiongozi anayejua hivyo, ambaye atasema rushwa kwangu ni mwiko, mwaminifu kabisa kabisa hawezi kugusa rushwa na ... watoa rushwa watamjua hivyo" yale aliyokuwa anazungumzia Mwalimu leo...
Hawa majaji wa upe wa serikali unafikiri watatoa hukumu ya haki? Cha msingi walimu rudini shuleni fanyani kazi ya kuita majina pekee yake na kujaza lesson plan mwaka mzima coz hayo pia ni majukumu ya mwl shuleni, mahakamani kuna sheria lakini hakuna haki.
Hakuna dhuluma wala uongo ambao ulishawahi kushindana na ukweli ukashinda, tanzania imejaa watawala katili kama nduli id amin lakini pamoja na ukatili wao hata wao pia wameshindwa. Mtanzania usikate tamaa. Freedom is coming tomorrow
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.