Search results

  1. mzeempili

    Kwanini nchi za Afrika ikiwemo Tanzania bado maskini licha ya kupokea Misaada na Mikopo ya mamilioni ya Fedha kutoka nchi zilizoendelea? - Part I

    Development is a personal struggle. Mara chache kuna kurithi utajiri. Lakini zaidi personal ambition ndiyo chanzo cha utajiri. Elimu ya kwenye makaratasi haijawahi kuwa chanzo pekee cha kupata mafanikio na utajiri. Elimu ni ufunguo tu... kazi ipo ndani ukishaingia, kufanya maamuzi sahihi...
  2. mzeempili

    Kwanini nchi za Afrika ikiwemo Tanzania bado maskini licha ya kupokea Misaada na Mikopo ya mamilioni ya Fedha kutoka nchi zilizoendelea? - Part I

    Kwa Tanzania, mafanikio ni prrsonal struggle. It is never and never shall it be a community struggle. Ukiisubiri nchi iendelee utakufa maskini utaiacha ilivyo hivi hivi.
  3. mzeempili

    RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

    Sioni mafanikio kwenye haya maamuzi. Wizi, na vurugu vitaongezeka kwa haraka sana. Wangeanza kutenga machinga streets ndani ya Kariakoo huko huko na Posta ili maeneo mengine yaachwe bila vurugu.
  4. mzeempili

    Serikali: Wanaosambaza picha za Rais Samia akiwa kwenye vivutio mbalimbali waache mara moja

    Watuwekee hizo picha, wawleze zina tatizo lipi?
  5. mzeempili

    Kwanini nchi za Afrika ikiwemo Tanzania bado maskini licha ya kupokea Misaada na Mikopo ya mamilioni ya Fedha kutoka nchi zilizoendelea? - Part I

    Kwa akili za viongozi zinazowaza madaraka, kuua upinzani, ngono, kuiba, utajiri binafsi, kula bata, kutapeli, kudanganya, wivu, kuzuia wengine wasipate maendeleo, kabila langu, ndugu zangu, kijijini kwangu, kutalii nje kulikoendelea, nk, sijui. Naomba tujaribu kufanya tathmini, viongozi wengi...
  6. mzeempili

    Hongera Serikali ya CCM kwa ujenzi wa barabara zote za Mwananyamala, kura zetu mtazipata 2025

    Una uhakika na ulichoandika? Kumbuka hawa watu wamekuwa madarakani miaka 60, wanakudanya kodi yako. Hata kama ni ukada, miaka 60 ni mingi aisee. Sitoi pongezi.
  7. mzeempili

    Rais hajui kuzungumza na wananchi, ziara za njiani zisitishwe

    Mtu ana-stage kusimamishwa njiani halafu hataki ku-stage fukuza fukuza? Hata mimi namshangaa
  8. mzeempili

    Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

    Yasije yakajirudia yale ya jiwe kufichwa baada ya kufariki.
  9. mzeempili

    Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

    Kwanini mama aporwe madaraka kinyemela? Ina maana yeye hajui majukumu yake vizuri? Au wanamtisha akaamua kuwaachia?
  10. mzeempili

    Kweli nimeamini CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi

    Mtu alikuwa na ndoto za kuigiza wakamlqzimoshia urais.
  11. mzeempili

    Kweli nimeamini CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi

    Serikali imeua siasa. Inataka itawale kidikteta
  12. mzeempili

    Kweli nimeamini CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi

    Sisiemu ilikufa zamani. Siku hizi wamekabidhi chama kwa IGP
  13. mzeempili

    Kweli nimeamini CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi

    Uongo. Hayo maagizo hayatekelezeki na ni propaganda tu
  14. mzeempili

    Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

    Mimi naweza kukupa vigezo. Waliopo wengi ni matokeo ya mfumo wa udikteta wa jiwe. Mfumo wa mama nao umelenga kuwazuia wanasiasa walio wengi kuonyesha uwezo wao kwa kuzuia, kuhujumu mawazo huru. Wenye uwezo hawana pa kujionyesha kwa kuwa mfumo na utawala haujalenga kuwapa fursa sawa wale wenye...
  15. mzeempili

    Sheria mpya, Jeshi la zima moto na uokoaji kupewa silaha za kazi gani

    Haina lojiki. CCM wana hofu ya kuondolewa madarakani ndiyo maana wanahimiza sana majeshi na silaha.
  16. mzeempili

    Idara ya Uhamiaji sasa kuwa Jeshi kamili na litawajibika moja kwa moja kwa Amiri Jeshi Mkuu

    Hii nchi sijui ililogwa na nani. Wizara iliyopswa kyvunjwa ni Ardhi na Makazi. Wizara hii imefeli sana kwenye Urbanisation... huwezi kuchanganya mambo ya Urbanisation na mashamba huko vijijini... this is absurd
  17. mzeempili

    Mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi

    Wanaotaka waziri wa ulinzi wapuuzwe. Wizara ya ulinzi itapewa mwanajeshi, jenerali au meja jenerali.
Back
Top Bottom