Search results

  1. W

    Dada ya Rafiki yangu ananitesa nifanyeje?

    kaka inawezekana ni kweli unayosema, mabinti wadogo wengi wanapenda kuiga wakubwa siku hizi. La msingi ni kumuelimeisha na sio kutake advantage ya ufinyu wake wa mawazo. Kumbuka siku moja utajifaharisha au kujuta kutokana na uamuzi wako juu ya issue hii.
  2. W

    Msaada: Huyu Binti haelewi nia ya baba yake

    katika maisha mapenzi sio kila kitu, baada ya muda fulani kupita kama mlilazimisha ndoa bila ya ridhaa ya mmoja kati ya wadau wakuu au bila ya kufata utaratibu unaokubalika mtajikuta mnasutana wenyewe na hiyo ndoa haitadumu
  3. W

    Je ni Rais gani Tanzania atakaesubutu kufanya kazi kwa vitendo kama

    dah lakini wakubwa tusiwe wachoyo wa shukurani, ni kweli hakuna binadamu asiyekosa mapungufu ila na huyu wa sasa kuna mazuri ameyafanya hata kwa asilimia ndogo.
  4. W

    Egyptian army soldiers arrest a female protester

    huu ni unyama banaa!! dah Mungu awaondolee balaa hili waafrika wenzetu
Back
Top Bottom