Rais Samia amejitahidi sana kuliunganisha Taifa maana tulifikia hatua mbaya ya kutozikana kwa misingi ya vyama, kafa wa Chama Fulani, siendi. Hii Hali Rais Samia amemudu kuiondoa apewe sifa yake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mikutano ambayo kwanza anakusanya watu kwa maroli na shule zinafumgwa eti Mwenezi anapita! Tutatoka lini kwenye huu upuuzi?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtoa mada kumbuka maandamano yamebadili Hali ya hewa ya kisiasa mahala pengo sana ikiwemo Marekani mpaka kukatwa na usawa. AFRIKA Kusini maandamano yaliwafanya Makaburu wanyooshe mikono, Makaburu wa Tanzania ni CCM,mifumo yote ya checks & balance imeuawa kabisa, mahakama na bunge zimekuwa...
Angekuwa ameiva angewatoa wale COVID 19 kama sheria inavyotaka, lakini Kwa kuwa hajaiva anaendelea kuwa nao.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanampangia vipi? Katiba iko wazi, hawana uanachama wasiwe wabunge. CCM wenyewe walifurajia bunge kulifanya la Chama kimoja wakasahau sheria za Mabunge kuwa kwenye mfumo wa vyama vingi wapinzani lazima wawemo, wamekumbuka tayari walishaharibu, Sasa kuionyesha Jumuia ya Mabunge kuwa wanaheshimu...
SA sijui wametumia kiumgo gani kufikiri. Israel imezungukwa na nchi za Kiarabu za Algeria, Tunisia, Morocco, Misri, Libya, Lebanon, Uturuki, Syria, Iran,Saudi Arabia, Qatar, Yemen, Iraq...hizi zote malengo yao ni kulifuta Israel. October 7 Hamas waliwavamia Waisraeli na kuua watu 1,200 huku...
Kabla ya kuhoji pesa za Chadema ueleze kwanza pesa zilizowekwa China na CCM kwa Sasa ziko wapi. Kila siku mada zako ni ugoro mtupu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utabiri huu ulitimia mwaka 70 AD Waisraeli walipoendelea kupinga kutawaliwa na Warumi, wakazingirwa ( siege), Waisraeli walitulia baada ya kipondo hicho Cha Warumi Kutoka 70 AD hadi 132 AD wakalianzisha Tena, safari hii waliwashinda Warumi, wakajitawala kwa miaka 2 tu, Warumi walirudi na hasira...
Yanayotokea Palestina ni kutimia kwa unabii wa Mwenyezi Mungu kupitia kinywa Cha Nabii Zakaria miaka ya 580 BC kuwa "Nitaigeuza Yerusalemu jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi. Ni miaka mingi toka utabiri huu utolewe, lakini miaka 1,000...
Wewe tayari umekiuka maonyo yaliyomo kwenye 1 Petro 3:15-16 kuwa tuwe tayari kuwajibu watu kwa upole na hofu. Neno "CHOKO"ulilotumia halikuweki tofauti kati yako na wapagani.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.