da! mtoa mada kama ulikuwa akilini mwangu ,jamani hii long distance love inatesa mfano hakuna, tena pale ambapo uko fall in love alafu mtu anakubabaisha ,mara umpigie asipokee simu, acheni ndugu zangu ni Ngumu kuishi in love distance!
usikubali kuendeshwa na akili za watu, ww ni mtu mzima una maamuzi yako binafsi ,na kuhusu swala la kuoa kama unamchumba msubirie amalize muoane kwani ukiforce kumuoa mtu mwingine kisa kukidhi haja za ndugu zako utaumia sana. na ukumbuke . mali na uridhi mtu uridthi kwa babaye ila mke mwema...
kuoa ni swala nyeti sana ni kweli kama unavyosema ukikosea kuoa uta suffer maisha yako yote, ni swala la magotini zaidi na sio kuiga wala kufanya kama fashion.
habarini wanajf, let asume wewe ni msichana ulianza uhusiano na kijana miaka 10 iliyopita means kwanzia secondary, wakati mnaanza urafiki alikulazimisha sana mnaniii ......lakini ukakataa ukiogopa ni dhambi,mlivyokuwa wakubwa zaidi namaanisha miaka 22 na kuendelea akakukumbusha tena kunanii...
habarini wana jf, shepu yangu inanikatisha tamaa kwani kila mwanaume anayeniapproach ukichunguza sana unakuta hana upendo wadhati bali alitamani shepu yangu tu ,na ninagundua kuwa ananitamani pale ninapomkubali baada ya siku mbili anataka mzigo, sio siri ninatamani ningezaliwa shepless nahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.