Una Macho au vidonda? Na usiseme hamkuweza kuiona bastora sema ww na upofu wako haukuiona...Nani amekutuma?! Umekula maharage ya wapi Wewe...watch it usijione unauhuru wakuandika pumbaaa kama hii..!!
Vinabaki Kama ukikakunja kamoja halafu ukajifuta Kama unapaka ...jifute kizungu halibaki... Mie natumia maji then najikausha na toilet paper.. Kujitawaza na toilet paper tuu lazima ubaki na kinyesi aisee. Water all the ways!!!!
Kaka sasa sie tukusidiaje... Waswahili wanasema tenda wema nenda zako... Hao unaowaazima ni watu wako wa karibu, yawezekana na ww kuna vitu huwa unaazima kwao,...wabongo sie bana daaah!!,
Hili wazo la Masanja kuweka kiingilio kwenye harusi yake nimelipenda, Hakika huyu Jamaa ni anawaza Pesa kwa kila kitu... Na habari zilizopo tayari watu 1000 wameshalipia viingilio kwa ajili ya harusi hiyo... Na leo ilikuwa send off ya mke wake mtarajiwa..all the best Masanja na mchumba wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.