NAANDIKA KWA NIABA YA DADA YANGU MMOJA MUHANGA ANAYEPITIA HILI,NIMEONA NISHEE ILI KUPATA USHAURI WA PAMOJA JINSI YA KUMSAIDIA.
Tulikutana Facebook na ni Mwaka wa nne sasa tangu tufahamiane,alikua akisoma chuo Songea ila kwao ni Dar. Tukaanza urafiki na kuwa wapenzi, akamaliza chuo wakati huo...
Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua mpaka sasa! Nimejitoa kwa mpenzi wangu nimegundua haya. Je, nifanyeje?
Baada ya kupost uzi ule siku...
Ndio Niko Hapa Mkuu! Nimeingia Mapema alfajiri Tokea Arusha! Nimewakuta Hapa Nimewatimua Ye Na Mshkaji Na nimemwambia Asijaribu Kufuata Chochote Alichoacha! Nitatumia Kufidia Gharama Zangu!
Mtoto tayari niko nae,aliniachia kwa hasira kwenye mkesha wa Christmas nikiwa Dar Nikaamua kumchukua next morning nikaja nae Arusha! Namfanyia utaratibu aingie Shule huku huku wiki hii!
Nimekuwa Kwenye Mahusiano na Huyu Binti Kwa Miaka 6 sasa! tumebahatika kupata Mtoto mmoja! ila hatujaoana. Kwa Sasa Yeye anaishi Dar Mimi niko kikazi Mikoa ya kaskazini! Mwanzo Nilianza Kufuata Taratibu za kumuoa nikatoa mpaka posa kwao tatizo likaja kwenye kikwazo cha dini! ikabidi tuweke pozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.