Huyu marehemu wako si ndo alitamani kushuka malaika aizime mitandao? Sasa hichi kilochotokea ni matokeo ya kile ambacho alikwisha kipanga sometimes ago. Na kwa bahati mbaya kimekuja juu wakati Mola ameshamuwajibisha.
Kiufupi tu hii nchi changamoto inazopitia sio za kawaida. Yaani kuanzia ubadilishaji wa fedha za kigeni, wanafunzi kukosa nafasi shule mpk viongozi wa kidini ni changamoto tupu. Tunahitaji miujiza kutoka mbinguni tutoke tulipo!
T. Lissu amenifanya niwe na imani kuwa uchaguzi huu utaheshimiwa na usipoheshimiwa basi Watanzania watauheshimisha.
nitapiga kura na nitamchagua Lissu Insha Allah.
Wakati Tanganyika inafanya figisufigisu ya kile ambacho kwa sasa tunakiita muungano, Nchi ya Tanganyika na Zanzibar zote zilikuwa huru na kila moja na mamlaka yake kamili ndani ya mipaka yake.
Muda mfupi tu baada ya Muungano taratibu tanganyika ikajiona sasa ni Baba mwenye nyumba kuanza kuweka...
Mume wako aliyesimamishwa hajakutosha? Mbona unawashwa washwa ww kuingilia mambo yasiyokuhusu? Unaona bora ”tumsimamishe Membe kuliko yule msaliti...” hivi tokea lini wewe Umeutakia mema upinzani? Sasa basi,unachotakiwa ww kufanya ni kujitahidi kujitoa akili kwa Polepole and the like ili...
Wewe ni km nani mpk umuhurumie Lisu? Mbona mlipommiminia risasi hukumuonea huruma? Wacha unafiki bwamdogo. Wewe kazi yako ni kuramba viatu vya mabwana zako wa CCM Ili upate shibe ya tumbo lako sio kuwaonea huruma viongozi wa upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.